Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Ikiwa yanayosemwa ni kweli kuna cha kujifunza hapo. Mwenye kujua ukweli ni mhusika mwenyewe maana yeye ndo shahidi wa kwanza wa matendo yake.
 
Asalaam wote humu ndani,

Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?

Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.


Una hamu nae ?
 
Miaka ya nyuma kule kijijini kwetu ilikua ukitaka kutoa laani kali itakayoteketeza ukoo au hata kizazi kwa laana hiyo. Walkkua wanamtoa kafara binti ambaye ni bikira. I guess that binti ataondoka kama sio watu basi kizazi cha watu fulani


Kwa hiyo hapa kwa huu mkasa wa M2cry walimtoa Akwilina sio?
 
DAMU YA BINTI MBICHI MREMBO YULE INAMLILIA... AKFANYA MZAHA WANAWEZA KUKUTANA.. MTOTO MDOGO KAMA YULE KAFA KWA UZEMBE WA MTULIA KWA SABABU ANGEENDELEA NA UBUNGE WAKE HATA KAMA ANGEAMUA KUTOIKOSOA SERIKALI, ANGEOKOA KODI ZETU NA DAMU YA AKWILINA
Pesa ya walipa kodi, pesa za Umma iliyotumika kumnunua, kurudia uchaguzi, kuhujumu wana chadema, kuwapiga, kuwabambikia kesi, kuwakamata, kuua watu na kujeruhi wengi inawauma watanzania kwani wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo tu, si kwa ajili ya kuwahujumu Wapinzani kisha kurudia chaguzi kwa gharama kubwa na kuwapora ushindi washindi na kumsimika mshindi feki toka CCM. Laana toka kwa wapiga kura zote zinamwandama Mtulia kwani hawakumchagua kwenye sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom