Mkuu ataapishwa bunge lijalo la April,uwe mpole
Kuna bunge duniani linaapisha vichaa?
Mkuu ataapishwa bunge lijalo la April,uwe mpole
Tulikatazwa tusisome wala kumuombeaMbona kama haya mambo ya albadir yapo, mbona kwa tundu lisu hayakufanywa? Ili kuisaidia serikali ktk hao watu wasiojulikana
Vita hii ya kisiasa ni kubwa kuliko ya kiuchumi........Magonjwa Mtambuka
Chabruma
MBITIYAZA
Ruttashobolwa
stroke Lizaboni cocochanel Pascal Mayalla Ufipa kinondoni
![]()
![]()
![]()
![]()
oyoooo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hapana,lipo sehemu moja tu duniani,ufipa baseKuna bunge duniani linaapisha vichaa?
Damu za watu haziendi bure, laana inamtafuna yeye na kizazi chake. We jitoe ufaham tuu ukijifanya ndio msemaji wa hyu baradhuliMtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
Kwahyo kama haukuwa wa amani jawabu lake nininiJamani huyo dogo hajaloga bali anasema alifunga swaumu kumlilia Mungu tu uchaguzi uwe wa haki
Mwombee tuu mkuu, mimi siwezi. Roho haikubali kabisaTumuombee kama ni kweli, Mungu ni mwingi wa rehema na atamrehemu na kumsamehe kabisa
Labda atakua ameponaKuna bunge duniani linaapisha vichaa?
Hapana,lipo sehemu moja tu duniani,ufipa base
Labda atakua amepona
Nimeona uzi umefutwa unsema anakimbizwa hospYuko hoi bin taabani. Kakiri kakake na leo anarudishwa Dar
Nikupe mfano tu, ulishawahi kutumia kondom?? Tendo la ndoa ni tamu sana, lakini cha ajabu ukishakojolea hiyo kondom hata kuishika unaona kinyaa.
Used Mtulia kinondoni
Mwambie wananchi wake hawana makazi mafuriko yamewaathiritulikuwa naye jana kinondoni, jamaa ni mzima wa afya, acheni kusambaza uongo , ehhhh
Utamsikia wapi wakati kakatazwa na mwenyekiti wako kufanya siasa kama Chakubanga? Akatiwe fungu na yeye "aunge mkono juhudi" kama una HAMU ya kumsikia.Asalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaonekana? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.