Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Breaking news!


Mbunge mteule kinondono Abdallah Mtulia hali yake mahututi.

Kaka yake amesema mdogo wake huyo amepatwa na ugonjwa Wa kupooza mwili na kuzimia zimia hovyo.

Hivyo wameamua kumrudisha kesho DSM muhimbili kwa matibabu zaidi wakitokea rufiji.

Chama chake cha mapinduzi hawataki habari zijulikane lakini sasa tumeona mficha ugonjwa kifo kinamuumbua sasa sisi tumeamua kuweka hadharani.

Taarifa hizi zimetolewa na Mussa Mtulia kaka yake mbunge huyo
AHSANTE MUNGUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU.
kama ni kweli anaumwa.
 
Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
chama kile mh hapana eti cha jenga nchi wapi kama mtu ameteteleka tuwange tunambizana sio kukanusha siku akishindwa kabisa ndio utasikia ooh alikuwa na tatizo kidogo tu.
 
Kuna mzee mmoja alikuwa akisema yeye ana uwezo wa kuleta dhahama kwa mtu yeyote mradi tu yule mtu amefanya dhulma ama uonevu.
Haya mambo inawezekana..Faru kazi wa bongeni,Hakimu mbabe wa kisutu,Mtulia...Hii inaweza kuwa dharura!
 
Mi najua hizi taarifa zingekuwa za uongo ccm wangeshaibuka na kukanusha huku na yeye akionekana
 
Back
Top Bottom