Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Mbona kichwa cha mkulu kimebonyea katikati hamsemi au ni mimi tu na kipanya ndio tunaona
 
tangu nianze kumuona huyo PM nywele zake zpo hvyo hvyo labda ndo style yake


Mimi ni Mwalimu wangu kanifundisha Shule ya Msingi Mpilipili Lindi karibu miaka 30 iliyopita, muonekano wa Mh Majaliwa haujabadirika hasa hasa mtindo wake wa kunyoa nywele.
 
Kinyozi na yeye hapangiwi anyoe vipi, anajua anyooshe nywele wapi au wapi apindishe na PM na yeye anatulia kimyaaaa, kila mtu na ufundi wake bhanah.

Kwenye vikao vya Bunge la Bajeti mwaka 2011 Magufuli akiwa Waziri wa ujenzi aliwahi kujibu swali la Zitto Kabwe na Moses Machali juu ya kwa nini barabara ya Kigoma - Nyakanazi ianzie Nyakanazi wakati plan ilikuwa kuanzia Kigoma, jibu lilikuwa ni kwamba kinyozi anaamua mwenyewe nianzie kisogoni au mbele, wewe unayenyolewa utasubiri kuambiwa tayari.
 
Wakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.

Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.

hahaha, daah nimecheka sana fremu ya kichwa ina-determine shingo🙄🙄🙄🙄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom