Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Tatizo sio kinyozi,hizo nywele zake ndivyo zilivyo
 
huyo ni old school au stone age muulize baba hako aliko tofauti na wewe
 
Bora angemnyoa denge au fido dido style.
Hiyo ingekuwa poa sana.
 
Tatizo sio langu jamani...nilipoanza kumnyoa PM kwa mara ya kwanza nilimuuliza ananyoa MTINDO gani...

Alinijibu/aliniambia nimnyoe kama alivyo....kwa maana nifuate mtindo nilio mkuta nao..

Kazi yangu hadi leo sio kumnyoa bali ni kumpunguza tu nywele...

Next time tutarekebisha....nilikuwa sijawahi kugundua kasoro hiyo....

Kweli wana JF... I SALUTE...nyie ni WAFUKUNYUKU...(wadukuzi)
 
Kinyozi hana shida hiyo ni morphology yake ulivyo tu!
 
Mtu anachongwa kutokana nywele zake zilivoelekea, vinginevyo zikiota kidogo tu zitaweka show mbaya.
 
Huyo bichwa hilo ndivyo lilivyo asisingiziwe kinyozi...
 
Hili tatizo linatukuta sana sisi wenye walaza wa mbele...kuchonga nywele inakuwaga tabu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom