Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Hiyo ni kweli hata jinsi anavyozichonga nywele pale juu pia anapeleka upande kiufupi abadili saloon hapo hapamfai labda kama ni mtindo wake
 
tangu nianze kumuona huyo PM nywele zake zpo hvyo hvyo labda ndo style yake
Actually nilidhani anandika kumsifia as zile nywele anavyomnyoa utadhani mashine ile ya umeme ya kufyekea majani. So smart!
 
Si ndio mkao w sura yake? Uso umezidi upande mmoja ndivyo alivyo. Kunyozi ht akikosea kwani yeye hajioni kwenye kioo? Yeye ndio anajiua yukoje na mpk akubali kuondoka na kumlipa ina maana karidhika na kaxi iliyofanywa mwilini mwake.
Hivi kinyozi wa PM sio mtumishi wa UMMA ?
 
IMG-20170415-WA0033.jpg
huyu hapa enzi za ujana wakee
 
Nilikuwa namuambia The bold juzi kuhusiana na hili.
Yeye alichonijibu ni kwamba labda kamuiga Pimbi (katuni) hahahaaaaaa
Nimecheka sana nilipoikuta hii mada humu.
 
Upinzani wa kutafuta dosari ndogo ndogo za wakuu wa nchi na kugeuza kuwa topic una safari ndefu ya kushika nchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom