MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,526
- 10,820
Tatizo siyo kinyozi ila kwa mbele nywele zake upande zimesogea mbele na upande mwingine zimerudi nyuma
Haa kinyozi ajirekebishe hata mimi nimeonaWakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.
Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.
Nakuunga mkono njia za nywele zipo tofauti wengine nywele zimeanzia ndani na wengine zimeshuka karibu na komwe mi kwel kabisaNdivyo alivyo kinyozi anamchonga kutokana na muelekeo wa nywele
Naona umebadilisha picha. Huyo kwenye picha ni wewe mwenyewe au umeidokoa mahali?mimi naona kama kichwa kimekaa upande mmoja mrefu mmoja mfupi. ila ukiwa maarufu utachunguzwa mpaka utajuta
ni mimi.Naona umebadilisha picha. Huyo kwenye picha ni wewe mwenyewe au umeidokoa mahali?
Bac me mekupenda... Ntakuja kukutembelea inbox...ni mimi.
inbox yangu. imefungwaBac me mekupenda... Ntakuja kukutembelea inbox...
Linaweza lisiwe kosa la Kinyozi, labda Waziri Mkuu ni mlemavuWakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.
Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.
Ameamua kunyoa hivyo, ni fashion ya PM.
Hamna kosa la kinyozi hapo. Hata mimi napenda kinyozi afuate "hairline" jinsi ilivyo na sio kuweka mbwembwe nyingi.