Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Tuwasiliane...kuna kinyozi mzuri sana angemfaa kwa style yake ya kunyoa PM. Binafsi hua inaniuma sana PM ni ntanashati sana tatizo kinyozi.
Kweli kabisa mkuu waziri wetu ni handsome lakini kinyozi ndo anamfanya awe mbaya
 
Wakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.

Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.


ha haha haa lakini nadhani ni namna picha ilivyochukuliwa. Embu tupia picha waliyomchukua akiwa wima anaangalia kamera moja kwa moja. Hapo ndo utaweza kuona vizuri kama ni shingo au kinyozi kakosea.
 
Tatizo sio langu jamani...nilipoanza kumnyoa PM kwa mara ya kwanza nilimuuliza ananyoa MTINDO gani...

Alinijibu/aliniambia nimnyoe kama alivyo....kwa maana nifuate mtindo nilio mkuta nao..

Kazi yangu hadi leo sio kumnyoa bali ni kumpunguza tu nywele...

Next time tutarekebisha....nilikuwa sijawahi kugundua kasoro hiyo....

Kweli wana JF... I SALUTE...nyie ni WAFUKUNYUKU...(wadukuzi)
Pamoja sana mkuu rekebisha hilo bhana
 
Kwenye vikao vya Bunge la Bajeti mwaka 2011 Magufuli akiwa Waziri wa ujenzi aliwahi kujibu swali la Zitto Kabwe na Moses Machali juu ya kwa nini barabara ya Kigoma - Nyakanazi ianzie Nyakanazi wakati plan ilikuwa kuanzia Kigoma, jibu lilikuwa ni kwamba kinyozi anaamua mwenyewe nianzie kisogoni au mbele, wewe unayenyolewa utasubiri kuambiwa tayari.
Khaa,,, mkuu umenikusha mbali sana
 
nafikiri hiyo ni style yake mwenyewe waziri mkuu sio kwamba kinyozi hajui anachofanya
 
Zaman alikuw ananyolewa vizur angalau
 

Attachments

  • tapatalk_1494179888937.jpeg
    tapatalk_1494179888937.jpeg
    82.9 KB · Views: 41

Similar Discussions

Back
Top Bottom