Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,904
- 22,129
Msinipangie namna ya kumnyoa mheshimiwa ...
Kichwa chake ndio kipo hivyo!tangu nianze kumuona huyo PM nywele zake zpo hvyo hvyo labda ndo style yake
Msinipangie namna ya kumnyoa mheshimiwa ...
Hv masikio hayatakiwi kuoneka eeee????? Au yake yatakua yamejificha... si eti eeee????View attachment 506698
Mbona hii yuko sawa tu, Kinyozi ni Jipu
Wakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.
Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.
Ha ha haaa, Yamefichwa na nyweleHv masikio hayatakiwi kuoneka eeee????? Au yake yatakua yamejificha... si eti eeee????
Nimecheka sana....kinyozi atakuwa UKAWA na bado anatakiwa amnyoe aonekane kakatika shingo.
Hahahahah huyo nampa salute !Wakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.
Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.