interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,410
Ukiona mpaka umeulazimisha moyo umegoma ina maana hamna chemistry kati yenu..
Msisitizo wangu ni kwamba unaweza ukajifunza kupenda pale ambapo mwanzo hukufikiria kupenda na ukapenda...ikishindikana sio kosa lako tu..linaweza likawa lake pia...cha msingi ulijaribu...
Ili mapenzi yawepo lazima viwepo vitu vya msingi vitakavyowaunganisha sasa kama umepambana na huoni? ?huwezi kujilaumu nadhani hapa tushaongea lugha moja...My take.....
Mpe nafasi na muda yule unayeona anakupenda ikishindikana jiridhishe kuwa hamkufanana...Ndege wenye mabawa yanayofanana huruka pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa wewe ni kisu na bado umri haujapiga hatua..endelea kuchagua Kwa sasa ila baada ya miaka kadhaa jaribu kurudi tena kwenye ushauri wangu ni mzuri pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana lkn tunachokielezea hapa ni kuhusu kuzeeka mapema, sawa na inavyosadikika Wanawake wengi huishi umri mrefu sana kuliko Wanaume kiumri.Ila wanaume wananifurahishaga...wanapenda sana story za oooh Kuna demu nilimtokea akanichomolea but now ukimuona maziwa yamelala, tako limeisha, sijui kazalishwa kaachwa....hivi nyie wanaume hamfuliagi??
Mi kuna boyfriend wangu alinitenda kinoma, miaka mitatu imepita, now kila akiona Witie huyo anakuja full kula kona[emoji1787][emoji1787][emoji23]...kwanza ni kachoka balaa, na huyo demu aliyekuwa ananidolishia kamwibia, kamloga kala kona!... Full kufulia mkaka wa watu na kila akiniona anatoka baruu[emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehe utajaribu na wangapi kaka? Ukizingatia vijana wa siku hizi ukishasema yes ameshafungua zipu
Mimi sikatai kabisa, mapenzi ni process hasa kwa sisi wanawake hata mimi ni shahidi mzuri wa hilo lakini sio kila wakati hii kitu inafanya kazi jamani hebu eleweni. Mimi kuna mtu nafahamiana nae huu mwaka wa tano...hana kasoro yoyote, mchapakazi, kujali kama kote ila moyo wangu haujawahi kushtuka kwake na hii nilishawahi kuielezea hata kwenye uzi mmoja hivi.
Mapenzi ni popote, awe maskini au tajiri maadam moyo wako umependa jitose. Hizi assumption za kwamba eti wenye pesa hawana mapenzi ni za wanaume walioshindwa maisha wanatafuta kivuli cha kujificha
Hata kama ni denti lazima unywe bia nilipe kopa hata dah umesema kweli kwani ukiwa unaomba hela unatumia moyo au akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah maskini ana mda na wewe zaidi, tajiri ana mda na pesa zakeMmmh poleeee!!! Kwa hiyo maskini ndo wana utu?
Hapo inategemea kipi kinakuvutia zaidi kwenye mapenziIpi inauma, kufikia kwenye hela ukazila kisha ukatemwa kama big G au kuwa na mtu maskini unamvumilia na msoto wake akishazipata anakutema kama big g
Hata hao ma lakionaire tabu iko pale paleHebu ngoja, unapozungumzia wenye pesa unawazungumzia matajiri kama kina Mo?
Hahahah mzee baba unatafuta matusi niniUkiwa tayari kunipa hela yako bila kuumia rohoni ni-pm haraka kabla akina Witnessj hawajakunyang'anya nafasi[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Hivi ndivyo inavyotakiwa iwe love. Hujui nani atamalizia maisha nawewe basi kuwa na moyo wa kupenda yule akupendae. Usichague chague watu kama taulo za mtumba! Akupendae kwa dhati ya moyo usimuangushe na kama itafikia mahali hatoona thamani yako basi piga moyo konde. Through that way utampata mtu sahihi!Ujue mambo ya ya mapenzi ni kama kubet tu maana hata hujui mtu moyoni anawaza nini. Mkeka ukichanika bahati mbaya ukitoka na bingo basi heri
Yes ili ibalance maana mkipendana mnao pendana wale wasio pendwa watapendwa na nani....kwaio ndomana lazima kuna mmoja ampende mwenzie sana kuliko mwingine na iyo kazi ya kupenda wamepewa wanaume ...wanawake viherehere tu vinawaponza nasisi kujipa jukumu la kupenda sisi kazi yetu ni kutiii....Ujue kapeace ishu iko hivi...we unayempenda yy hakupendi na anayekupenda kwa dhati we humpendi.....sijui why hii ishu asee[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja, unaweza kumkubalia mtu kisa anaonekana ana mapenzi kumbe muigizaji tu naye. Sasa unasacrifice mapenzi kwa jitu usilolipenda mwisho wa siku unagundua nalo lisanii tu si bora uwe na yule unayempenda hata yakitokea ya kutokea utakuwa umefaidi na wewe
Mkipendwa kwa dhati mnajitia vipofu. Mwanaume akikwama kwako aki ya nani hawezi kuficha na kwa uzoefu mara zote ME msiowapendaga ndio huwa ndio waoaji hao. We komaa na kibrazamen chako majibu utayapata 28+ !Anaforce kinoma, na watu nao full kunipa presha kama zote!
Eti ntajuta mbele kupoteza upendo kiwango kile, coz siku hizi wanaume wa hivi hamna tena....[emoji848]
Anyway life goes on....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo maanake anakuona cartoon tuIla kuna wadada mnamajibu mabaya aseeh. Kweli mtu unatongozwa unacheka?
Mi sina tabia hio mbona mama!Mwanaume anaweza akakufuatilia mpaka ukasema malaika huyu, kumbe si lolote si chochote, anasubiribuingie 18 zake ufurahi na nafsi yako. Ukiona akili na moyo vyote vinagoma basi usilazimishe.
Hahaha aisee, mzee kweli ulipatikana ila sio mbaya mwanamke awe na marafiki mob ila wasiwe wanaume tu. Ila penye ulalamishi hapo ningepiga chini Express baada ya kukamilisha zoezi muhimu lile. Mwanamke ambae yeye anawaza bata tu, hana mipango ya maana hapana![emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ni Balaa, Mwanamke mlalamishi, mwanamke anapenda starehe tu. Hafikilii hata kesho itakuwa vpi, Tabia ya kwenda kwenye Vi Studio vya picha na kupiga picha kupost mitandaoni hii ndio imenishinda. Mwanamke ana marafiki kibaooo, ila sio mbaya hao marafiki zake ndo mademu zangu
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Hahah ishu ya kuw wife material ni mtambuka sana ila wanawake ni kama vile wanajisahaulisha sijui. If you behave like a woman 100% hutokosa mume wa kukuoa.Yani nilikuwa sipend kinoma, nikaona kwa indicator hiyo siwezi kufika nae popote.
Unajua nn witness, wanawake/ wasichana wa siku hizi wanakosa charactor moja ya "Wife" na hii kitu ni muhimu sana kwa mwanamume ambae anataka kuoa.
Kama mwanamke atashindwa ku demostrate hii character basi ana posibility ndogo sana ya kuolewa.
Ukisikia kila mwanaume anasema natafuta "Wife material" hii kitu ni muhimu sana sema huwa hamjui tuu
Sasa unakuta upo na mwanamke yeye kakaa ki starehe starehe tuu yani hata kuwa mama watoto hawezi
Basi ndio ivo as usual tunaongeza milage akafie kwa mtu mwingine huko
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela