Niseme ukweli dadangu.. Tamaa za wadada wengi ni level ya juu kweli kweli.. MAPENZI HUJENGWA, ALWAYS TUNA BUILD LOVE, Hakuna mtu anampenda mtu kwa siku moja.. Mapendo lazima yaambatane na sababu sahihi kama kujituma, kujali nk.. mapenzi hayapo eti jamaa handsome, ana hela nk.. ukiona unampenda mtu kisa uzuri wake DADANGU jua wazi hukumpenda na siku akikutana ajali ya boxer ndio nitolee.. MAPENZI NI BUILD UP STATE OF MIND.. Mnaweza mkaanza kwa kutoelewana au mmoja akimnyanyasa mwenzie lkni mwishoni mkafika mkabargain kuwa mwenzangu yuko hivi ma hapendi hivi..
Jengeni wapenzi wenu.. tengeneza mazingira ya kumpenda yule anayekupenda.. HATA YESU ARUDI TENA MAPENZI HAYAWEZI KUBALANCE ETI 50/50 lazima kuna mmoja anamzidi mwenzake na the way mnavyoishi ndio mnakaribisha hiyo balance ingawa haitokuwa balanced..
MM NINA DADA YANGU KISA WEUPE, UREFU WAKE NA MSHEPU kakataa wanaume kibao now kila mwezi anataka pesa zimsaidie maisha huko mkoani kwetu... PUMBAAVU ZAKE nashindwa kumkatia waya kisa dada toke nitoke...
Sent using
Jamii Forums mobile app