Yule ambae humtaki ndio mumeo

Yule ambae humtaki ndio mumeo

Kuna mwanamke alikua anumia theory yako ameolewa na MTU anayempenda ameishia kumtesa ile mbaya
Kuolewa na anaekupenda sana haimaanishi ye ni malaika na kuna siku mtapishana na atakuonyesha upande mwingine hapo hata aje papa msamaha wa dhati hautapatikana

Lakini anaekupenda hata akikuumiza lkn moyo utaridhia na utamsamehe hata kama mtaachana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amaa kweli imebidi ni-like,ujumbe wa mwanamke kwenda kwa wanawake wenzake na msipozisikia hizi jumbe mkijiona makonki sana basi mtaendelea kuachwa hivyo hivyo macho mmeyatoa mbele kukiwa mbali na nyuma kukiwa mbali!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
[emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ni Balaa, Mwanamke mlalamishi, mwanamke anapenda starehe tu. Hafikilii hata kesho itakuwa vpi, Tabia ya kwenda kwenye Vi Studio vya picha na kupiga picha kupost mitandaoni hii ndio imenishinda. Mwanamke ana marafiki kibaooo, ila sio mbaya hao marafiki zake ndo mademu zangu

Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Anapost picha anajifanya anaishi masaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....zile za kwenye garden haaahaaa

Mademu wa hivo noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndo ujumbe wenyewe sasa sikuwa nimeuona

Usiigiliziane aina ya mahusiano .....mbona fulani ilikuwa hivi na alifanikiwa ...fulani aliolewa na anaempenda akateseka sana....kama kubet tu
Ujue mambo ya ya mapenzi ni kama kubet tu maana hata hujui mtu moyoni anawaza nini. Mkeka ukichanika bahati mbaya ukitoka na bingo basi heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amaa kweli imebidi ni-like,ujumbe wa mwanamke kwenda kwa wanawake wenzake na msipozisikia hizi jumbe mkijiona makonki sana basi mtaendelea kuachwa hivyo hivyo macho mmeyatoa mbele kukiwa mbali na nyuma kukiwa mbali!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kwani ukiachwa ndo unakufa??[emoji849][emoji849]....so normal yaan kuliko unavyofikiria!

Kuna vichwa vya wanawake wengine wanawaza watoboe vipi hili life rather than mapensi ( in Sarah harmonize voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nilikuwa sipend kinoma, nikaona kwa indicator hiyo siwezi kufika nae popote.
Unajua nn witness, wanawake/ wasichana wa siku hizi wanakosa charactor moja ya "Wife" na hii kitu ni muhimu sana kwa mwanamume ambae anataka kuoa.

Kama mwanamke atashindwa ku demostrate hii character basi ana posibility ndogo sana ya kuolewa.

Ukisikia kila mwanaume anasema natafuta "Wife material" hii kitu ni muhimu sana sema huwa hamjui tuu

Sasa unakuta upo na mwanamke yeye kakaa ki starehe starehe tuu yani hata kuwa mama watoto hawezi

Basi ndio ivo as usual tunaongeza milage akafie kwa mtu mwingine huko
Anapost picha anajifanya anaishi masaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....zile za kwenye garden haaahaaa

Mademu wa hivo noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
 
Yani nilikuwa sipend kinoma, nikaona kwa indicator hiyo siwezi kufika nae popote.
Unajua nn witness, wanawake/ wasichana wa siku hizi wanakosa charactor moja ya "Wife" na hii kitu ni muhimu sana kwa mwanamume ambae anataka kuoa.

Kama mwanamke atashindwa ku demostrate hii character basi ana posibility ndogo sana ya kuolewa.

Ukisikia kila mwanaume anasema natafuta "Wife material" hii kitu ni muhimu sana sema huwa hamjui tuu

Sasa unakuta upo na mwanamke yeye kakaa ki starehe starehe tuu yani hata kuwa mama watoto hawezi

Basi ndio ivo as usual tunaongeza milage akafie kwa mtu mwingine huko

Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Haaaahaaaa [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]...na kitu kimoja mnakosea sana wanaume!

Kutokuolewa sio mwisho wa maisha asee!

Kuna wanawake wana priorities kibao humu duniani waweza shangaa!

So mwanaume usikariri life la mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haaaahaaaa [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]...na kitu kimoja mnakosea sana wanaume!

Kutokuolewa sio mwisho wa maisha asee!

Kuna wanawake wana priorities kibao humu duniani waweza shangaa!

So mwanaume usikariri life la mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
1: 1000 kila mwanamke anataka kuolewa. Kwa resho iyo labda mmoja ndio ana mambo yajmke. Tena labda anaumwa

Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
 
Huu ndo ujumbe wenyewe sasa sikuwa nimeuona

Usiigiliziane aina ya mahusiano .....mbona fulani ilikuwa hivi na alifanikiwa ...fulani aliolewa na anaempenda akateseka sana....kama kubet tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kuna mtu alileta uzi humu akidai ameshindwa kumpenda mume wake alidhani atampenda mbele ya safari plus pressure za ndugu jamaa na marafiki akajikuta anaolewa sasa yamemfika hapa ....wee watu walimchamba akachambika, ooh kwa nini uliolewa naye, ulikuwa separate, mara ulifuata pesa, wengine ooh ungemwacha kaka wa watu angekutana na anayempenda we ulijipeleka kufanya nini na mtu humpendi? Mradi tafrani. Leo wamegeuka ukiona mtu anakupenda we hata kama humpendi olewa tu...mtutue jamani life is too short
 
Back
Top Bottom