moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
Pole kwa yaliyokukuta Mungu akupe nguvu
Kaka alikufanyaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Broo kuna mwanadada nilikuwa nampenda sana nikasema huyu lazima Nimuweke mtu kati nimuheshimishe nimpe maisha. Baada ya kuwa nae kwenye mahusiano for 2 months nikagundua kuwa hana hadhi ya kuwa mke wa mtu yeyote. Ana vitabia vya kishenzi sana. Nadhani ndio maana hajaolewa hadi leo na umri umesonga she'z abt 28 na uzuri wake wa nje nikawa najiuliza hivi kweli wanaume hawajamuona kweli??? Kwann haolewi
Basi na mm nikamuongezea milage nikamuacha. Ila kwa nje ni mwanamke mzuri sana anaestahili kila kitu. Lakini Ovyo kabisa. Najuta kukutana nae maana ndio mmoja ya watu ambao hawatoki kichwani kwangu.
Shenzy kabisa
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Yaaan imebaki namuonea huruma huyu kaka asee!Mungu hajaruhusu tu huyo kuwa chaguo lako kwa sasa, lkn muda sahihi ni lesson tosha kumkubalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivoo?[emoji849][emoji849]Naunga mkono hoja, unaweza kumkubalia mtu kisa anaonekana ana mapenzi kumbe muigizaji tu naye. Sasa unasacrifice mapenzi kwa jitu usilolipenda mwisho wa siku unagundua nalo lisanii tu si bora uwe na yule unayempenda hata yakitokea ya kutokea utakuwa umefaidi na wewe
Anaforce kinoma, na watu nao full kunipa presha kama zote!Moyo ukigoma usikilize tu, usijilazimishe ili uje upate kisingizio baadae.
Safi hili swaliKwahiyo nyie huwa hamna majuto? Yaani yanawanyookea tu[emoji848][emoji848][emoji848]
Sio kweli...labda wewe tu ndo unatamani vitu hiviWanawake bana hivi huko kwenye moyo kuna nn.? Mtu anakwambia moyo umegoma.
wanaume wengi tunatamani vitu viwili tu kwa mwanamke umbo lake na rangi yake baasi.hatuangalii amesoma, kabila, dini,ana kazi ,ana nyumba,gari n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....we mshenzi kwa kuponda hujambo!!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Broo kuna mwanadada nilikuwa nampenda sana nikasema huyu lazima Nimuweke mtu kati nimuheshimishe nimpe maisha. Baada ya kuwa nae kwenye mahusiano for 2 months nikagundua kuwa hana hadhi ya kuwa mke wa mtu yeyote. Ana vitabia vya kishenzi sana. Nadhani ndio maana hajaolewa hadi leo na umri umesonga she'z abt 28 na uzuri wake wa nje nikawa najiuliza hivi kweli wanaume hawajamuona kweli??? Kwann haolewi
Basi na mm nikamuongezea milage nikamuacha. Ila kwa nje ni mwanamke mzuri sana anaestahili kila kitu. Lakini Ovyo kabisa. Najuta kukutana nae maana ndio mmoja ya watu ambao hawatoki kichwani kwangu.
Shenzy kabisa
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]....ulihisije???Kuna mwanamke nilishawahi kumtongoza akacheka.
Hahaha. Hadi na leo sijamsahau. Imagine unamtongoza mtu upo serious kabisa umejilamba midomo na kusuuza sauti kisha anaishia kucheka eti hahahaha.
Nilifikiria mengi saana.
Mpka leo najiuliza kwanini uligomea[emoji53] [emoji53]Kuna jamaa mmoja last year katikati kwenye mishe tumekutana hukoo.....Basi jamaa full kuzimika na mimi, aaahg! Nikamuona tapeli tu....kumbe ni ananipenda kweli asee, ...tatizo moyo wangu haumkubali kabisa, staff mwenzangu ananiambia iko siku utaukumbuka huu upendo, halafu mkaka mzuri tu, na anafocus na life but duuh moyo bana ukagoma![emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi umpe nafasi jamaa
Am sorry to him...siwezi asee!Jitahidi umpe nafasi jamaa
Everything is a risk
Ila kuna wadada mnamajibu mabaya aseeh. Kweli mtu unatongozwa unacheka?Moyo husukuma damu si mengine. Kumchagua mwenza wa maisha na akili nayo inabidi ifanye kazi ya ziada. Upendo hauwez kua 50 50 mzani lazima utazidi upande mmoja. Muhimu mzani usiwe umezidi sana upande mmoja i.e. 90 kwa 10[emoji16].
Sio kila anayekufuatilia sana anakupenda wengine wanataka tu kukuona upoje.
[emoji32][emoji32][emoji32]