CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,869
- 16,014
Hahahah asee wangu now kama hajazaa... unajua nilichobaini ni kwamba mapenzi bora ni yale yanayoanza kwa kusuasua... Huyu wangu nilimpata kama mbadala wa yule manzi ila si kwa ajili kumuonesha la hasha.. Niliamua kutembea mbele..Usijali, ndo maisha yalivyo. Hata mkeo naamini na yeye maziwa yamelala now, tumbo limeshuka na tako limeisha., ila katika yote hayo wote wamepata kuitwa mama; what a blessing
Thamani ya mtu haishushwi na umri au watu wengine; ila na mtu mwenyewe binafsi.
Nimeweka vionjo hivyo kwa maana kubwa.. WANAWAKE WENGI WANA DREAM KUBWA LAKINI UHALISIA HAUKO HIVYO... WANATAKA MTU HANDSOME NA AWE NA KAZI ZA MAANA, NYUMBA NA MAZAGA KAMA YOTE.. KUMBE LIFE HALITAKI HIZO MAMBO.. BE HUMBLE MTAFUTE MWANAUME SMART.. ANAKUJALI ANAJALI FAMILIA YAKO.. HAKUPIGI NA ANATIMIZA WAJIBU WAKE KAMA MWANUME ASEE MPENDE SANA..
Sent using Jamii Forums mobile app