Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
Nyie wadada si mnasemaga mwanaume pesa, hata kama hujampenda, kama ana hela, hivyo hivyo unakomaa kama kylln alivokomaa kwa bwana machache kapeace
umewahi kujaribu?
Moyo bila ubongo ni mzigo
Ukiamua kuufunfisha moyo kwa kutumia ubongo kuthamini upendo wa anayekujali utaona matokeo mazuri
Anhaaaaaa..Hii mada naona imepotoshwa. Kinachoongelewa hapa ni dada zetu ambao wanakataa si mwanaume mmoja ila kila mwanaume anayekuja - sana sana si kwa mwonekano wao ila kwa vile hawana pesa, hawatoki katika familia zenye majina makubwa nk. Wanachagua wee mpaka wanapata wanakosa ama koroma. Baadae wanajuta. Nilikuwa nao wengi wa aina hiyo chuoni. Wale walioolewa na wasiokuwa na majina ama mali, wametafuta mali kwa pamoja na sasa siyo masikini tena.
husband material ila inawezekana hayo material ukawa ni polyester au nylon na sio cotton wanawake wakaingia mkenge daah😂😂😂 just joking bro.
Maisha mafupi sana haya kuyaishi kimaigizo....ni wachache wanaoweza maigizo hayo (bibi zetu)Haha bora ww uko honest, kuna mdada mmoja nlimtongoza, ndani ya wiki moja aliniambia kuwa nimuoe..na alikuwa ananiomba pesa balaa, yaani I could sense kabisa kwamba huyu mdada hanipendi kutoka moyoni, anaigiza ili apate hela.. nlimwambia akatafte mwanaume anaempenda kapeace
Ila mwisho wa siku hakuna aijuaye kesho.Hiyo kimasikhara pia inategemea unadate na nani.
Kupenda kupo Kwa aina mbili kumpenda MTU automatically au kumpenda through learningUnajua kuna upendo wa asili kwa kitu na upendo wa ku adopt
Rafiki yangu mmoja alikuwa ni kiwembe hatari baada ya kuumizwa sana na wanawake
Ilikuwa amepoteza kabisa matumaini ya mapenzi halisi kwa binti yeyote akikuwa ana hit and move
IKtokea binti mmoja akampenda kiasi ambacho hakielezeki, mimi nikatambua na nikamwambia mzee huyu manzi ndiyo hazina yeye akawa anasema ooh hayuko moyoni
Nilimshwashi sana atulie naye hata kwa unafiki, kna mambo mengi ya kuvutia akawaa anatendewa na yule binti baada ya hapo aktambua nafasi ya yule mwanamke na kunishukuru kwa kumpigania
Leo hii ndio mkewe na anampenda kupita maelezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila mwisho wa siku hakuna aijuaye kesho.
Labda angenikubalia angenichezea tu akaniacha.
Kuna mwanamke alikua anumia theory yako ameolewa na MTU anayempenda ameishia kumtesa ile mbayaMaisha mafupi sana haya kuyaishi kimaigizo....ni wachache wanaoweza maigizo hayo (bibi zetu)
Huyo msingefika popote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nisingekachezea nilimaanisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajipa moyo eeh!! Wht if wewe ndio ungemchezea tu ukamuach!!
Ni Balaa, Mwanamke mlalamishi, mwanamke anapenda starehe tu. Hafikilii hata kesho itakuwa vpi, Tabia ya kwenda kwenye Vi Studio vya picha na kupiga picha kupost mitandaoni hii ndio imenishinda. Mwanamke ana marafiki kibaooo, ila sio mbaya hao marafiki zake ndo mademu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....we mshenzi kwa kuponda hujambo!!?
Ana tabia gani huyo manzi?
Sent using Jamii Forums mobile app