Yule ambae humtaki ndio mumeo

Yule ambae humtaki ndio mumeo

Wanao uhuru wa kuchagua mi nilishatoka huko kitambo
Tulisema wengi ila kwa sasa tunakumbuka mengi tunasema laito tungesema ndio hapa tusingekuwa tunashaanga shangaa unajua maisha nikudhubutu sio kijaribu.
Utazunguka kumbe mume yupo hapo kwako karibu mnaongea kila siku ila akija kuoa ndio mwisho wakujishaua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atajijua iko siku atalia huyo muhuni atampa mimba nakusepa

Sent using Jamii Forums mobile app
Maajabu huyo mkulima baada ya miezi 3, anavuna mazao ya 4+ M, huyo mhuni manzi ndo anamhonga kimshahara cha 80k per month, wkt yupo na mchz, mchz alikuwa anamhudumia kila kitu. Kahamia kwa mhuni kisa mtumishi wa serikali bdl yake yy ndo anahonga ili apendwe zaidi baada ya kugundua mhuni ana mchumba wake wa kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau wazima,
Kwa wadada unaweza kumkataa mwanaume kisa hana hela au anahela ila roho haijaridhia basi unajiachia kwa vibwana ambavyo vinakuchezea tu mwishoe unatoa mimba unaachwa unasalitia mpaka unazeeka tokea wimbo wa vileti mpaka tetema hujaolewa hujui kwanini kwa maana yule unayemkata ndio kaja kwa wema ila wale unaowapapatikia ndio utaishilia ukitoa macho kama mjusi aliyabanwa na mlango .
Oh mara unasema huyu namchuna mpaka nini .
Mara nawangu tunamiadi naye yambele we have future together mwenyewe hata home hajawahi kuja .
Anawatifuatifua marafiki zako kama nini halafu kutwa masaa ishirini nanne unakuwa unammsema unamuwaza unakuwa unamuota naunajiona kumbe ni mpita njia kazi yake ni kula nakusepa sasa huyo uliyemkataa ataoa utabaki umekomaa hadi ukigongwa na pikipiki sio wewe unajeuriwa na pikipiki umeijeruhi.
Acha kuchagua utajikuta wewe ndio kila mtu anapita akichoka nyumbani kwake.
Anajua unachopenda chakula vinywaji na pesa anakuja anakupa anaenda ila hata siku moja hutasikia ndoa.
Utavaa nguo zakila neno hadi ubadili uanze kuvaa vitengee.
Utabakia ukiitwa majina kisa ni wewe ulitaka.
Kaa naanaye kupenda tatizo ni hili kumpenda asiyekupenda .
Aliyekupenda tulia naye hata hela mkikaa pamoja mkawa serious mtazipata tu.
Au kama anazo basi jaribu kumuweka unavyotaka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi kupenda??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau wazima,
Kwa wadada unaweza kumkataa mwanaume kisa hana hela au anahela ila roho haijaridhia basi unajiachia kwa vibwana ambavyo vinakuchezea tu mwishoe unatoa mimba unaachwa unasalitia mpaka unazeeka tokea wimbo wa vileti mpaka tetema hujaolewa hujui kwanini kwa maana yule unayemkata ndio kaja kwa wema ila wale unaowapapatikia ndio utaishilia ukitoa macho kama mjusi aliyabanwa na mlango .
Oh mara unasema huyu namchuna mpaka nini .
Mara nawangu tunamiadi naye yambele we have future together mwenyewe hata home hajawahi kuja .
Anawatifuatifua marafiki zako kama nini halafu kutwa masaa ishirini nanne unakuwa unammsema unamuwaza unakuwa unamuota naunajiona kumbe ni mpita njia kazi yake ni kula nakusepa sasa huyo uliyemkataa ataoa utabaki umekomaa hadi ukigongwa na pikipiki sio wewe unajeuriwa na pikipiki umeijeruhi.
Acha kuchagua utajikuta wewe ndio kila mtu anapita akichoka nyumbani kwake.
Anajua unachopenda chakula vinywaji na pesa anakuja anakupa anaenda ila hata siku moja hutasikia ndoa.
Utavaa nguo zakila neno hadi ubadili uanze kuvaa vitengee.
Utabakia ukiitwa majina kisa ni wewe ulitaka.
Kaa naanaye kupenda tatizo ni hili kumpenda asiyekupenda .
Aliyekupenda tulia naye hata hela mkikaa pamoja mkawa serious mtazipata tu.
Au kama anazo basi jaribu kumuweka unavyotaka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo umeshtuka leo rafiki,polee,wasalimie sana Arusha!!
 
Maajabu huyo mkulima baada ya miezi 3, anavuna mazao ya 4+ M, huyo mhuni manzi ndo anamhonga kimshahara cha 80k per month, wkt yupo na mchz, mchz alikuwa anamhudumia kila kitu. Kahamia kwa mhuni kisa mtumishi wa serikali bdl yake yy ndo anahonga ili apendwe zaidi baada ya kugundua mhuni ana mchumba wake wa kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao amazing atakuwa mkulima hajui kazi shambani bali anajua shambani kuna kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tamaa mbele mauti nyuma"

"Stand for the truth always stand alone"

Maajabu huyo mkulima baada ya miezi 3, anavuna mazao ya 4+ M, huyo mhuni manzi ndo anamhonga kimshahara cha 80k per month, wkt yupo na mchz, mchz alikuwa anamhudumia kila kitu. Kahamia kwa mhuni kisa mtumishi wa serikali bdl yake yy ndo anahonga ili apendwe zaidi baada ya kugundua mhuni ana mchumba wake wa kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuata moyo wako mama kuna yule unampenda nae walau anarespond huyo ndo wa kumshikilia

Tatizo wadada mko desperate sana na kuolewa...kuliko kuolewa na mtu usie na mapenzi nae bora kuitwa msimbe nk....

Ni mtazamo wangu tu ambao unapishana na katoto kazuri kiaina

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja, unaweza kumkubalia mtu kisa anaonekana ana mapenzi kumbe muigizaji tu naye. Sasa unasacrifice mapenzi kwa jitu usilolipenda mwisho wa siku unagundua nalo lisanii tu si bora uwe na yule unayempenda hata yakitokea ya kutokea utakuwa umefaidi na wewe
 
Ndio ndio wewe tumeelewana vizuri
Naunga mkono hoja, unaweza kumkubalia mtu kisa anaonekana ana mapenzi kumbe muigizaji tu naye. Sasa unasacrifice mapenzi kwa jitu usilolipenda mwisho wa siku unagundua nalo lisanii tu si bora uwe na yule unayempenda hata yakitokea ya kutokea utakuwa umefaidi na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya mapenzi ni kama circle katoto kazuri anampenda wiz kid na wiz kid anampenda joyce na joyce anampenda joseph na sasa katoto kazuri anapendwa na martin so katoto kazuri atakuwa na martin kwasababu fulani you see huu ndio mzunguko wa mapenzi.
Unaweza kukuta joseph anamanzi watatu hata joyce ana wanaume idadi yake mwenyewe so akija joseph hiyo ni tyme yake ila ukweli ni huu inampigiaga mahesabu mtu ambae sio.
Kwa hiyo unaishilia ndio basi tena single or married ila no happy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa mmoja last year katikati kwenye mishe tumekutana hukoo.....Basi jamaa full kuzimika na mimi, aaahg! Nikamuona tapeli tu....kumbe ni ananipenda kweli asee, ...tatizo moyo wangu haumkubali kabisa, staff mwenzangu ananiambia iko siku utaukumbuka huu upendo, halafu mkaka mzuri tu, na anafocus na life but duuh moyo bana ukagoma![emoji16][emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo ukigoma usikilize tu, usijilazimishe ili uje upate kisingizio baadae.
 
It doesn't apply every where. Wengine hata ungejitahidi moyo unagoma
Kweli husemi uongo ila for how many years utakuwa na someone ambaye hakudeserve .
Kuna story moja hii hapa alitokea binti mrembo kupendwa na vijana wawili mwanamke akachagua moyo wake basi akaolewa ila muda kupita akajua aliywmchagua ni player .
So maisha ya kawa ndio vipigo vilio akaona isiwe tabu akaenda kwa ampendae.
Kidogo maisha yakasonga wakaanza maisha yao nawako mpaka sasa ndio wakutolea mfano.
Kuna waigizaji na tru lovers kuna wale wanajidai kukupenda ila ni maplayer ila wewe ni mtu mzima wao sio wakwanza nautajua tu mwongo ni hupi simple jidai unashida ask for it but sio ml. 1 or 2 kumkomoa no.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeongelea personal sababu yule bibie ndio anajuta,kishapigwa divorce 2,umri umeenda hana mtoto,inaonesha kipindi cha ujana alichomoa chomoa,yan hiyo juzi kaongea mengi mno,anajuta yan
Kwahiyo nyie huwa hamna majuto? Yaani yanawanyookea tu[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom