Yule ambae humtaki ndio mumeo

Yule ambae humtaki ndio mumeo

Hahahah asee wangu now kama hajazaa... unajua nilichobaini ni kwamba mapenzi bora ni yale yanayoanza kwa kusuasua... Huyu wangu nilimpata kama mbadala wa yule manzi ila si kwa ajili kumuonesha la hasha.. Niliamua kutembea mbele..
Nimeweka vionjo hivyo kwa maana kubwa.. WANAWAKE WENGI WANA DREAM KUBWA LAKINI UHALISIA HAUKO HIVYO... WANATAKA MTU HANDSOME NA AWE NA KAZI ZA MAANA, NYUMBA NA MAZAGA KAMA YOTE.. KUMBE LIFE HALITAKI HIZO MAMBO.. BE HUMBLE MTAFUTE MWANAUME SMART.. ANAKUJALI ANAJALI FAMILIA YAKO.. HAKUPIGI NA ANATIMIZA WAJIBU WAKE KAMA MWANUME ASEE MPENDE SANA..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokiongea hapa ni ukweli mtupu....wanaume wazuri bado wapo, na wenye mapenzi ya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndivyo inakuwaga lakini mimi nashauri wadada mtizame mioyo yenu iko wapi ikiwezekana olewa na unaempenda

Kuishi na mtu kisa tu ye anakupenda sana lkn wewe humpendi kivile ni mtihani mzito sana kuzidi matusi ya humu kwa masingle mama

Sent using Jamii Forums mobile app
WANAWAKE WABINAFSI SANA NYIE...

NI SUALA LA KUUSET MOYO TU...UTAMPENDA TU...HIVI WAKATI ULE MAMA ZENU WALIOKUWA WANAOLEWA NA MWANAUME HATA HAMJUI...JUST KWA SABABU BABA YAKO NA BABA YAKE WANAFAHAMIANA BASI WANAKUBALIANA KUOZESHANA...NA WANADUMU...

NYIE WA SASA MNAJIKUTA WAJANJA NA WAJUAJI..
 
Uko subjective,iko hivi;

1.Unayempenda vs yeye Hakupendi

2. Anayekupenda vs wewe Humpendi

3.Unayempenda vs Anayekupenda=Mnapendana.

Hilo grp la 3 lipo wacheni kugeneralize na kurithi maneno ya wahenga na kubase kweny magroup 2 ya kwanza.Mnawa(tu)kosea group la 3.
Ujue kapeace ishu iko hivi...we unayempenda yy hakupendi na anayekupenda kwa dhati we humpendi.....sijui why hii ishu asee[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niseme ukweli dadangu.. Tamaa za wadada wengi ni level ya juu kweli kweli.. MAPENZI HUJENGWA, ALWAYS TUNA BUILD LOVE, Hakuna mtu anampenda mtu kwa siku moja.. Mapendo lazima yaambatane na sababu sahihi kama kujituma, kujali nk.. mapenzi hayapo eti jamaa handsome, ana hela nk.. ukiona unampenda mtu kisa uzuri wake DADANGU jua wazi hukumpenda na siku akikutana ajali ya boxer ndio nitolee.. MAPENZI NI BUILD UP STATE OF MIND.. Mnaweza mkaanza kwa kutoelewana au mmoja akimnyanyasa mwenzie lkni mwishoni mkafika mkabargain kuwa mwenzangu yuko hivi ma hapendi hivi..
Jengeni wapenzi wenu.. tengeneza mazingira ya kumpenda yule anayekupenda.. HATA YESU ARUDI TENA MAPENZI HAYAWEZI KUBALANCE ETI 50/50 lazima kuna mmoja anamzidi mwenzake na the way mnavyoishi ndio mnakaribisha hiyo balance ingawa haitokuwa balanced..
MM NINA DADA YANGU KISA WEUPE, UREFU WAKE NA MSHEPU kakataa wanaume kibao now kila mwezi anataka pesa zimsaidie maisha huko mkoani kwetu... PUMBAAVU ZAKE nashindwa kumkatia waya kisa dada toke nitoke...

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikatai kabisa, mapenzi ni process hasa kwa sisi wanawake hata mimi ni shahidi mzuri wa hilo lakini sio kila wakati hii kitu inafanya kazi jamani hebu eleweni. Mimi kuna mtu nafahamiana nae huu mwaka wa tano...hana kasoro yoyote, mchapakazi, kujali kama kote ila moyo wangu haujawahi kushtuka kwake na hii nilishawahi kuielezea hata kwenye uzi mmoja hivi.
The same ....ujue hawa hayajawakuta!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu kama humpendi hutamsamehe akikuosea

Hutamvumilia katika magumu yake ugonjwa uchumi nk

Hutafurahia nae tendo la ndoa utatoka nje kumtafuta wa kukufurahisha

Utaishi kinafiki sana usoni tabasamu huku moyoni ni majuto na kilio

Hizo ni hasara nazoziona....

Sent using Jamii Forums mobile app
JIFUNZE KUMPENDA MPAKA UMPENDE...INAWEZEKANA...
 
Uko subjective,iko hivi;

1.Unayempenda vs yeye Hakupendi

2. Anayekupenda vs wewe Humpendi

3.Unayempenda vs Anayekupenda=Mnapendana.

Hilo grp la 3 lipo wacheni kugeneralize na kurithi maneno ya wahenga na kubase kweny magroup 2 ya kwanza.Mnawa(tu)kosea group la 3.

Sent using Jamii Forums mobile app
Group la tatu lipo nashangaa watu wanatufosi tukae kwenye magroup yale mawili, kama wao wamechagua hayo ni tatizo lao binafsi eboo
 
Yes ili ibalance maana mkipendana mnao pendana wale wasio pendwa watapendwa na nani....kwaio ndomana lazima kuna mmoja ampende mwenzie sana kuliko mwingine na iyo kazi ya kupenda wamepewa wanaume ...wanawake viherehere tu vinawaponza nasisi kujipa jukumu la kupenda sisi kazi yetu ni kutiii....

am better here
Hivi kutii ninini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora uwe single mara 100 ni heri kuliko kuoa au kuolewa na mtu usie mpenda eti kisa umri unaenda, uache uende usiende nao

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
 
Back
Top Bottom