Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
hapa dada nimezungumzia kujaribu kuzikabili hisia na kuendana na mtu.....Hehe utajaribu na wangapi kaka? Ukizingatia vijana wa siku hizi ukishasema yes ameshafungua zipu
hayo ya kufunguana zipu ndio yanaweza kuwa kiini cha kufanya maamuzi pia,