Yuko wapi Komandoo Salmin Amour?

Yuko wapi Komandoo Salmin Amour?

Mzee Salmin Amour Juma yupo nyumbani kwake Migombani nje kodogo ya Mji wa Zanzizar ametulia anakula mafao.

Pamoja na ukomandoo wake wote alishindwa kuibadili katiba ili atawale kwa awamu ya tatu.

Pia mwaka 1999 alikiri kwa alekuwa katibu mkuu wa jumuiya ya Madola chifu Emeka Anyaoku kwamba hali ya Zanzibar haikuwa nzuri kutokana na ushindi mkubwa wa Pemba kutiwa kapuni.

Mama Salma nae, binti wa "Ilala qarters" na Arusha Town naona kimya.

Halafu kuna mama anaitwa Fatma pale Copenhagen au Stockholm naona atakuwa nae anatupatupa vijisenti kidogo vya "up keep".

Kheri ya Pasaka.
Tunaomba picha ya mama salma
 
Tujikumbushe hotuba zake ili tupate kumfahamu na labda wengine wanaweze kutupatia habari za Komando baada ya kustaafu yupo wapi na kama Mzee kwa sasa anatoa nasaha gani kwetu sisi kizazi hiki na historia ya utawala wake tunajifunza yepi mema tuyachukue na yakuacha tuache yapi, ndo umuhimu wa somo la historia kutuhifadhia mafunzo na kumbukumbu.



 
Wakuu heri ya sikukuu ya pasaka , na poleni sana kwa mauaji ya askari wetu yaliyotokea huko Rufiji ( Namuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema peponi , Amina )

Baada ya salamu hizi naomba kufahamishwa alipo nguli wa siasa za Zanzibar , Mh Salmin Amour Juma , nimejitahidi sana kuchungulia kwenye vikao vya ccm vilivyofanyika hivi karibuni Dodoma na kwingineko sijamuona .

Komandoo yuko hapahapa au kaenda nje ya nchi ?
Malipo ni hapa hapa duniani
 
Inasadikiwa elimu ys Dkt.Salmini ninkidato cha 4 tu.Je alipandaje pandaje mpaka kuingia IKuRU?
unachanganya kati ya Dr Salim na Dr Salmeen

Dr Salmeen Amour ana PhD ya Ujerumani akiipata akiwa na miaka 30

amehudumu Wizara kubwa kubwa tangu enzi za Baba wa Taifa

miaka ya mwisho ya Utawala wa Baba wa Taifa alikiwa ndie Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi
 
unachanganya kati ya Dr Salim na Dr Salmeen

Dr Salmeen Amour ana PhD ya Ujerumani akiipata akiwa na miaka 30

amehudumu Wizara kubwa kubwa tangu enzi za Baba wa Taifa

miaka ya mwisho ya Utawala wa Baba wa Taifa alikiwa ndie Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi
Dr Salim alishawahi kuwa Waziri Mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom