Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Komando shabab alishaoa mara tano baada ya kumuacha yuleMke wa kichagga aliyekuwa naye enzi za utawala wake alimkimbia na kuolewa na balozi wa Libya aliyekuwa hapa nchini. Atakuwa alimwongezea masaibu ya upweke na hata kuoa na kuoa na kuoa tena.
Just Gooogle...komando aoa
Infact hata kabla ya urais komondo..alishaoa sana ...na mara kadhaaa alikaaa bila mke,sijui kwanini
