Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Muislaam ndio nani??Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Muislaam ndio nani??Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Kwa hiyo kwa kuondolewa Ndalichako kitakuwa kitengo cha Bakwata au Answar Sunna? Sasa ni bora liende.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Pumba zote za nini hizo? soma hapa: Home
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
.............kile kigango kilikomaa mpaka kuwa parokia !.........Sasa kaanza Paroko kung'oka !:amen:
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.
Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.
Nawasilisha
Muislaam ndiyo nani huyo na asiye muislaam ndiyo yupi wakati binadamu wameumbwa kwa maumbo ya kike na kiume pekee.
KitaturuDuh FaizaFoxy!!...Mbona wewe unaaaonekana ni mama mmoja "mstaafu" mshari sana,usiyependa kujadiliana kwa hoja!!??...Hii taarifa imejibu hoja za huyo jamaa kweli? Mbona nao wanalalamika tu kuwa waislamu wanahujumiwa na kufelishwa pasipo kutuambia wanafelishwa/kuhujumiwa kivipi? Hivi inawezekana kweli kwamba Dr Ndalichako akaamuru mfumo mzima wa Baraza zima la Mitihani uwanyonge au uwafelishe au uwahujumu waislamu na uwabebe wa dini zingine na hasa wakristo? Kivipi na yeye ni nani hasa hata aweze afanye hivi? Hebu naomba nielimishwe namna hili linavyowezekana!!
Otherwise umeshindwa kujibu hoja za jamaa ambazo mimi pia nazikubali; kwamba mfumo wetu wa elimu kwa ujumla wake una matatizo lukuki nje ya baraza la mitihani na tukidhani kuwa tatizo ni NECTA na Dr Ndalichako we will be fighting the wrong enemy and I think that is what some of you are doing!!..
Think about this,tujadiliane na ombi langu kwako ni please tusitukanane!1
ndugu unaweza ukadhani uko sahihi kumbe unakosea,waislam sio kwamba hawataki shule bali mfumo waliowekewa na watawala waliotangulia ndo umewafikisha hapo walipo, sioni tofauti waislam kumkataa ndalichako na wakristo kumsema vibaya dr dau wa nssfNilikuwa nakuheshimu sana dada yangu lakini kwa mchango wako huu,
Umejipunguzia Heshima ya Utu wako na Umewapatia Heshima ya Mashaka
watu waliokuheshimu kwa muda mrefu pamoja na waislamu wenzako.
Nijambo la aibu ktk zama hizi kuingiza chembechembe za udini kwenye Professionalism
ktk utendaji. hupaswi kujutia kuwa muislamu, kinachotakiwa ni kusoma kwa juhudi
na mhimizane kubadilika. Nyinyi upande wa pili wa dini kuna mambo fulani mlishakosea
huko nyuma ndo kinachowatafuna hadi sasa na mnadhani adui yenu ni NECTA
chini ya NDALICHAKO, Real you are fighting the wrong enemy.
Hapa ndo mnaponikumbusha Luddism na chartism huko England.
I stand to be corrected.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
wewe wa wapi? mbona mabenki tayari wameshaanza kufuata sharia! nenda kcb, nbc amana pbz etc utaona.acha ujinga nchi inaongozwa na katiba na sheria kanuni hata akiwekwa nani lazima azingatie hayo! hatufanyi mambo kidini kesho mtataka mahakama, benki nk zifuate sharia hayo ni huko huko misikitini na wakristu na mambo yao huko huko makanisani!
sidhani kama upo sahihi kwa sana, kama hayo ndo yanasababisha kufeli iweje wafeli waislam tu?peri
===>Kuondoka ataondoka maana hakuna mtu atakae kaa pale milele,lakini tuliangalie suala hili kwa jicho la tatu,
1---ubora wa elimu yetu na ufaulu wa watoto wetu utabadilishwa na kuondoka kwa ndalichako?
2---Maslahi ya walimu yanarekebishwa na kiongozi mpya wa NECTA atakae kuja?
3---Uhaba wa madawati,Maabara na nyumba za walimu zitaletwa na kiongozi mpya wa NECTA?
===>Twende mbali zaidi jamani,Ndalichako ni mpimaji tu wa hiyo elimu
Mwenye sifa......jk mwenyewe hana sifa..
Akapunzike kwa amani huko aendako.