Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera

WhatsApp Image 2020-09-16 at 10.00.56 AM.jpeg
 
CCM hoyeee. Mungu kaibariki Tanzania kutupatia JPM. Hakuna Kama yeye never
Ni kweli,kwani hakuna kama wewe au mimi!Mungu kamuumba kila mtu tofauti na mwenzake!Kwa mantiki hiyo sawa!Ila kama unamaanisha hakuna mtanzania anayefaa kuwa Rais ila yeye,hapo sikubaliani na wew!
 
Dr Bashiru Anasema kuwa,wako WANASIASA wanakuja na Sera za MAJIMBO kuligawa taifa....

Amesema,WANASIASA hao;watakatakata barabara kimajimbo,watakata kimajimbo bomba la mafuta kutoka Chongoleani Tanga Mpaka Hoima...
 
Daah!! Huyu mtu sjiu alikuwaga wapi tu" ama kweli, kila kitu na wakati wake

Sio Siri Mzee, umetufaaa Sana Watanzania, najua, huwezi kuheshimika na kuthaminika Kwa kizazi hiki cha leo, kizazi cha nyoka, kizazi pingapinga, kizazi cha starehe, kizazi kisichopenda kufanya kazi, kizazi cha kula bata bila kufanya kazi

Kizazi kinachotaka Uhuru wa kutukana watu, kizazi kisicho na shukrani,. Kwa vile kila kazi aifanyayo mtu, malipo yake ni Kwa Mungu, Mungu atakulipa Kwa kazi nzuri juu Taifa lako ulilolipenda Kwa Moyo wako wote na kulitumikia Kwa nguvu zako zote!

Nitakuchagua tena
 
Daah!! Huyu mtu sjiu alikuwaga wapi tu" ama kweli, kila kitu na wakati wake

Sio Siri Mzee, umetufaaa Sana Watanzania, najua, huwezi kuheshimika na kuthaminika Kwa kizazi hiki cha leo, kizazi cha nyoka, kizazi pingapinga, kizazi cha starehe, kizazi kisichopenda kufanya kazi, kizazi cha kula bata bila kufanya kazi

Kizazi kinachotaka Uhuru wa kutukana watu, kizazi kisicho na shukrani,. Kwa vile kila kazi aifanyayo mtu, malipo yake ni Kwa Mungu, Mungu atakulipa Kwa kazi nzuri juu Taifa lako ulilolipenda Kwa Moyo wako wote na kulitumikia Kwa nguvu zako zote!

Nitakuchagua tena

Hakika Magufuli ni Jembe,Mitano tena ni haki yake.
 


View attachment 1571180
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 16, 2020 ameendelea kupiga kampeni, ambapo baada ya kumaliza wilayani Chato, mkoani Geita, Muleba leo yupo Bukoba Mjini mkoani Kagera Uwanja wa Gymkana.


MGOMBEA ubunge jimbo la Bukoba Mjini Stephen Byabato amewaomba wananchi wa jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kuhakikisha wanajenga mnara wa mawasiliano kati yao na Rais Dk.John Magufuli kwa kuchagua Rais, Mbunge , madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi( CCM).

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 28 mwaka huu, Byabato amesema katika uchaguzi hakuna sababu ya hao kufanya makosa kama yaliyofanyika uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kuchagua mbunge na madiwani wa upinzani.

"Bukoba Mjini tulikosea mwaka 2015 kwa kuchagua upinzani , na hivyo kukata mawasiliano kati yetu na Rais Magufuli.Huu ni mwaka wa kujenga mnara wa mawasiliano,naomba wote tumchague Dk.Magufuli kwa nafasi ya urais,mnichague mimi kwenye ubunge jimbo la Bukoba Mjini pamoja na wabunge wote wa CCM,"amesema Byabato.

Amefafanua kuwa ni kweli maendeleo hayana Chama na ndio maana Rais Magufuli amefanya maendeleo makubwa bila kuombwa na mtu yoyote lakini kwa upendo wake mkubwa kwa wananchi wa Bukoba Mjini na Kagera Mjini ameleta maendeleo.

Ameongeza katika miaka mitano iliyopita chini ya uongozi wa Rais Magufuli wananchi wa Bukoba Mjini kunamaendeleo makubwa yamefanyika na kwamba Sh.bilioni 158 zimetumika kwa maendeeleo."Tunatambua kwamba yote hatukuomba lakini tumezipata fedha hizo kwa upendo mkubwa alionao kwa ajili yetu."

Amesisitiza Bukoba Mjini kuna taa za barabarani wamepata kilometa 13 za lami, wamepata mradi mkubwa wa maji wenye kuzalisha lita milioni 18 wakati mahitaji ni lita milioni 15 kwa siku na hivyo kubaki na ziada ya lita milioni tatu na kwamba yote hayo yamefanyika sio kwasababu waliomba bali yametokana na Rais Magufuli na mapenzi yake kwa wananchi.

Pia Sh.milioni 500 zimetolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya vituo vya afya na leo, miundombinu katika sekta ya afya imeboreshwa na kuimarika sana."Hayo yote hatukuomba katika miaka mitano lakini tumepewa.Nawaombeni wana Bokoba, tusifanye makosa tena.Tumchague Dk.Magufuli kwanza jina lake ni kubwa hata ukilitaja unasikia raha.

"Tujenge mnara wa mawasiliano ambao utakuwa rasmi kwa ajili ya kupeleka mawasiliano kati ya wananchi na Rais wetu.Tunataka tukipiga simu kwa Rais tunaambiwa mawasiliano yapo na tunayoomba yanafanyiwa kazi, Bukoba iwe na mawasiliano mazuri na sio ukipiga unaambiwa Not reachable,"amesema Byabato.
WhatsApp%2BImage%2B2020-09-16%2Bat%2B8.54.24%2BAM.jpeg


WhatsApp%2BImage%2B2020-09-16%2Bat%2B8.54.25%2BAM%2B%25281%2529.jpeg

Sehemu ya Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Kagera waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 28 mwaka huu
WhatsApp%2BImage%2B2020-09-16%2Bat%2B8.54.25%2BAM.jpeg


"Ndugu zangu Wanakagera kabla hatujaongea chochote naomba tusimame kwa Dakika chache kuwaombea watoto wetu walioungua na moto na wale wote majeruhi tuwaombee wapone haraka."
Rais Magufuli Kutoka Bukoba, Kagera.
 
Katika dini ya Kiislam kukariri ni dili imekuwa tofauti kwa Shakh huyu muhaya yeye amesoma sala yote katika karatasi kwa kiswahili sara yenye mvuto na matumaini makubwa.

Askofu wa KKKT Kagera naye alikuja na daftali kubwa na kusoma sala yenye mpangilio na mtiririko ambao unaleta matumaini kama ya Shekh.

Pia na Askofu wa katoriki yeye alikwenda mbali zaidi na kuja na kitini kikubwa sana na kushusha maombi yenye mtililiko mzuri wa kuvutia na kubariki.

Ukifwatilia utaona hawa jamaa walikaa zaidi ya siku si chini ya 7 wakiaandaa sara ya kampeni kweli hawa watu ni wasomi tusiwabeze, wanaelewa maana ya usomi.
 


View attachment 1571180
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 16, 2020 ameendelea kupiga kampeni, ambapo baada ya kumaliza wilayani Chato, mkoani Geita, Muleba leo yupo Bukoba Mjini mkoani Kagera Uwanja wa Gymkana.


MGOMBEA ubunge jimbo la Bukoba Mjini Stephen Byabato amewaomba wananchi wa jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kuhakikisha wanajenga mnara wa mawasiliano kati yao na Rais Dk.John Magufuli kwa kuchagua Rais, Mbunge , madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi( CCM).

Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 28 mwaka huu, Byabato amesema katika uchaguzi hakuna sababu ya hao kufanya makosa kama yaliyofanyika uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kuchagua mbunge na madiwani wa upinzani.

"Bukoba Mjini tulikosea mwaka 2015 kwa kuchagua upinzani , na hivyo kukata mawasiliano kati yetu na Rais Magufuli.Huu ni mwaka wa kujenga mnara wa mawasiliano,naomba wote tumchague Dk.Magufuli kwa nafasi ya urais,mnichague mimi kwenye ubunge jimbo la Bukoba Mjini pamoja na wabunge wote wa CCM,"amesema Byabato.

Amefafanua kuwa ni kweli maendeleo hayana Chama na ndio maana Rais Magufuli amefanya maendeleo makubwa bila kuombwa na mtu yoyote lakini kwa upendo wake mkubwa kwa wananchi wa Bukoba Mjini na Kagera Mjini ameleta maendeleo.

Ameongeza katika miaka mitano iliyopita chini ya uongozi wa Rais Magufuli wananchi wa Bukoba Mjini kunamaendeleo makubwa yamefanyika na kwamba Sh.bilioni 158 zimetumika kwa maendeeleo."Tunatambua kwamba yote hatukuomba lakini tumezipata fedha hizo kwa upendo mkubwa alionao kwa ajili yetu."

Amesisitiza Bukoba Mjini kuna taa za barabarani wamepata kilometa 13 za lami, wamepata mradi mkubwa wa maji wenye kuzalisha lita milioni 18 wakati mahitaji ni lita milioni 15 kwa siku na hivyo kubaki na ziada ya lita milioni tatu na kwamba yote hayo yamefanyika sio kwasababu waliomba bali yametokana na Rais Magufuli na mapenzi yake kwa wananchi.

Pia Sh.milioni 500 zimetolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya vituo vya afya na leo, miundombinu katika sekta ya afya imeboreshwa na kuimarika sana."Hayo yote hatukuomba katika miaka mitano lakini tumepewa.Nawaombeni wana Bokoba, tusifanye makosa tena.Tumchague Dk.Magufuli kwanza jina lake ni kubwa hata ukilitaja unasikia raha.

"Tujenge mnara wa mawasiliano ambao utakuwa rasmi kwa ajili ya kupeleka mawasiliano kati ya wananchi na Rais wetu.Tunataka tukipiga simu kwa Rais tunaambiwa mawasiliano yapo na tunayoomba yanafanyiwa kazi, Bukoba iwe na mawasiliano mazuri na sio ukipiga unaambiwa Not reachable,"amesema Byabato.
WhatsApp%2BImage%2B2020-09-16%2Bat%2B8.54.24%2BAM.jpeg


WhatsApp%2BImage%2B2020-09-16%2Bat%2B8.54.25%2BAM%2B%25281%2529.jpeg

Sehemu ya Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Kagera waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 28 mwaka huu
WhatsApp%2BImage%2B2020-09-16%2Bat%2B8.54.25%2BAM.jpeg


“Napenda pia nitumie fursa hii kutokana na msiba uliotupata kule Kyerwa kuzihimiza mamlaka zote husika nchini ikiwemo wizara ya TAMISEMI na wizara ya Elimu kuhakikisha shule zote zinazingatia masuala ya Usalama na sheria kabla na hata baada ya kuanzishwa na hasa katika masuala ya ukaguzi ili madhara ya moto na ajali mbalimbali kwa shule zetu yasijirudie tena “.
Rais Magufuli Bukoba mjini
 
“Ninafahamu mkuu wa shule ameshikiliwa na jeshi la polisi, mimi ningeomba jeshi la polisi wakati wakiendelea kufanya uchunguzi huyu mkuu wa shule wamuachie pia, ili wadhibiti na kujua kama ilikuwa ni ajali kweli au palikuwa na sababu za uzembe kwa sababu bado hata akiwa nje ya mahabusu nina uhakika ataendelea kushirikiana na polisi katika kutoa taarifa”
Rais Magufuli Bukoba mjini
 
Tundu Lissu ndio Rais tupa kule huyo mshamba na limbukeni wa ndege
 
Daah!! Huyu mtu sjiu alikuwaga wapi tu" ama kweli, kila kitu na wakati wake

Sio Siri Mzee, umetufaaa Sana Watanzania, najua, huwezi kuheshimika na kuthaminika Kwa kizazi hiki cha leo, kizazi cha nyoka, kizazi pingapinga, kizazi cha starehe, kizazi kisichopenda kufanya kazi, kizazi cha kula bata bila kufanya kazi

Kizazi kinachotaka Uhuru wa kutukana watu, kizazi kisicho na shukrani,. Kwa vile kila kazi aifanyayo mtu, malipo yake ni Kwa Mungu, Mungu atakulipa Kwa kazi nzuri juu Taifa lako ulilolipenda Kwa Moyo wako wote na kulitumikia Kwa nguvu zako zote!

Nitakuchagua tena
Kizazi cha mamarioo hawataki kazi kabisa wao wanapenda kila kitu kiwe mezani.
 
Back
Top Bottom