Moja na mbili sio kosa na kama kuna kosa basi sio kosa la kigaidi.
Namba tatu, sio Kingai wala mashahidi waliofuata ambao wameweza kuthibitisha hizi tuhuma.
YES
Shitaka ni kunuia kutenda matendo ya kigaidi kinyume cha sherai ya ugaidi ya 2002
1. Kakusanya watu- rejea Kingai, Kaaya, tigo, airtel, forensic
2. Mwenzake kuwa na bastola isiyosajiriwa-rejea Kigai, msajiri wa bunduki, mtaalam wa milipuko
3. kafadhili- rejea rejea Kingai, Kaaya, tigo, airtel, forensic
 
Kuhusu sauti anasema hawezi kujibu sababu ya usarama ,kwa nijuavyo mimi nikwamba, sauti ya simu hufutika ndani ya siku90 automatically na sms ni siku60 inaondoka kwenye system automatically, hawataki watu tujue.
 

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE imemmaliza Mbowe ndiyo maana Mh. Kibatala ameamua kuuliza kirefu cha DCI-Daima Chadema Inashindwa
Ila kuamini kuwa Mbowe ni Gaidi ni roho mbaya tu!!
 
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology shahidi anaweza asijue ni nini Kinaongelewa.

Kibatala: Mheshimiwa Jaji hakuna hoja hapo, Mbona shahidi anajibu, Eti ndugu shahidi, ni kweli huelewi Kitu?

Shahidi: Ndiyo sielewi

Kibatala Kwanini sasa ulikuwa unajibu?

Shahidi wa Jamhuri: Kimya

Eti naye huyu Ni mpelelezi, hajui kitu lakini ajibu...ajicontradict
kazi kweli kweli
 

Hawa ndio Celebrate shahidi anasema haiwezekani kudukuliwa!​

Kama sever za kampuni mama zilidukuliwa sembuse huo mtambo mdogo?​

Security breaches​

On 12 January 2017, it was reported that an unknown hacker had acquired 900 GB worth of confidential data from Cellebrite's external servers. The data dump includes alleged usernames and passwords for logging into Cellebrite databases connected to the company's my.cellebrite domain, and also contains what appear to be evidence files from seized mobile phones, and logs from Cellebrite devices.[27] The dumped data suggested Cellebrite sold its data extraction products to countries such as Turkey, the United Arab Emirates and Russia.[15]

Vulnerability report by Signal​

Main article: Cellebrite UFED § Security
Ndio Maana mawakili wanajenga msingi wa utetezi wa Mashahidi wa Jamhuri uwe ni wa mashaka.

Hawa mawakili wa Kibatala ni nyoko.
 
Wewe na inspector uchwala

Oooh nimesoma IFM

Oooh waisrael walitufundisha mtu wao alitoka Nairobi

Oooh nilisoma IT ila misamiati ya kubatala migumu

Oooh maabara sijakuta chochote kibaya wala sms za kuzungumzia sabaya au kulipua vituo vya mafuta na maandamano
Kwa vile fact za mashtaka zina futika uta kuta jaji hakuandika hayo majibu. Maana na huyu jaji ni wakili wa serikali kwenye hii kesi
 
... kilichonishangaza zaidi ni wakili wa serikali kuwa na mashaka juu ya uwezo wa shahidi (guru la IT Polisi) kushindwa kujibu "misamati migumu" ya IT anayoulizwa na (ngwini) Kibatala! Ajabu sana! Hii timu ya Kibatala wanaonekana kuwa multi-sectoral; multi-purpose; multi-processing hawa jamaa! Nyanja zote wanajua - sheria wao, IT wao, uchumi wao, security wao, telecom wao (Airtel, Tigo), duh! Brains zao zina GB nying mno!
Yaan timu hizi Mungu wa ajabu zinapatikana upande ule tu.Upande ule mwingine wengi viazi yaan hata sijui kwa nn

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 

Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi​

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE
Kielelezo cha watu tupu kichwani ni upande uliopo wewe.Na unavyoandika nahisi unahitaji cheo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom