Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Huku niliko hakuna umeme mawasiliano ya simu pia ni shida tumeambiwa matokeo yatasafirishwa kwa helikopta hadi mjini mi nipo mjini sasa hivi.
 
Mungu akitaka kuwaondoa viongozi/watawala madarakani huwapiga upofu ili wasione yanaendelea na wakishakuwa vipofu hujawa na kiburi kwakuwa hawaoni huamini kuwa Wako sawa mwisho huwa Ni kuanguka Tu.

wananchi wanayataka mabadiliko siyo kuyahitaji tena "wanayataka" waliopo madarakani hawalioni hili wamepigwa upofu, CCM wataendelea na kuamini Wako sawa kwani wanatazama lakini hawaoni.

Good! Hizi saaa ndiyo siasa tunazotaka, sio kuiponda CHADEMA, bali ni kupambana na CCM. Again Asante.
 
Hatujapiga kura hadi muda huu na kituo kimefungwaa.....mamayo zenu wote mnaohusika....
 
jereta limeletwa hapa nyahanga shuleni. sijui ni kwa ajili ya mwanga kwa kuwa wamechelewa kuanza kupiga kura, ngoja tusubili tuone.
 
Naskia harufu ya mabomu hapa ni vurugu....ni tunataka haki zetu
 
Endeleeni kufarijiana kana
kwamba chaguzi zote mtatumia kete na hujuma hizi za kuengua wagombea
mlizotumia! Wananchi tuna hasira na nyie na uchaguzi mkuu mtatukoma wezi
nyie

Pole sana Mkuu! Ila usijali, kama navyosema siku zote, kelele na mtazamo wa mtu mmoja sio mawazo ya wapiga kura wote.
Watu watakusikiliza na mwisho watafanya maamuzi wakati wanapojaza karatasi ya kura.
 
Mtaa wa Lake Tanganyika katika kituo cha Jihad manispaa ya Kigoma Ujiji Chadema wakutwa wakigawa rushwa ya 5000 5000 kwa wapiga kura ili waichague CCM na waikatee ACT-TANZANIA inasikitisha sana ukawa hii mpya kuibukia Kigoma
 
Back
Top Bottom