Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Mabumu ya machozi yanarindima hapa KWIMBA MJINI kisa furaha ya wananchi dhidi ya chadema wananchi wanashangilia imekuwa kero kwa ccm na police.
 
UPDATES MATOKEO MAENEO MBALIMBALI,
Mtaa wa Msewe, Ubungo
CCM 356,
CHADEMA 683

Mtaa wa Mjini, Karatu
CCM 109
CHADEMA 281
Mtaa wa TFA, Karatu
CCM 179
CHADEMA 358.
Mwenye matokeo zaidi aweke hapa.!!
CHANGE ni mimi, ni wewe, ni sisi.. TUNAWEZA!
 
masopakyindi kada gani muongo mzushi? ati cahdema walijipanga wakiwa na magari ya matangazo..hujui maana ya kampeni wewe..unadhani kampeni ni kupita barabarani na matangazo tu..wakati wao wakiwa na vipaza sauti barabarani wenzao tulikuwa nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu..sasa acha kupiga mayowe sikilizia matokeo kada feki..
Nipo hapa Mbeya, kada wa chama tawala. Hata hivyo pita pita ya ngu mitaani hadi kule Rungwe nimejionea mwenyewe hali ilivyo tete kwa CCM.

Ni kama CHADEMA wao wamejitayarisha vizuri, na wapo kila mahala. Huu si oungo ,maana wameteka vijana wengi na bendera hasa Ile pana ziko kila mahala.

Jana niliona magari kadhaa ya matangazo na uhamasishaji ya CHADEMA, lakini sikubahatika kuona hata moja la CCM.

Nimefika Kiwira ndo balaa! Mchana vijana walifunga barabara kwa mdundiko uliokuwa ukiongozwa na gari ya matangazo ya CDM!

CCM najionea huruma lakini tusubiri tu.
 
Morogoro mji mpya chadema ashinda na mtaa wa saadani chadema ashnda mtaa wa riverside mwembesongo kura bado zinahesabiwa.
 
Jamii inabadilika ingawa kwa taratibu, ccm bado inayo nafasi nzuri ya kushinda sanasana ikisaidiwa na hila, dola ndo tegemeo lao na hivyo hawafanyi siasa tena bali wanataka kutamka na iwe pasipo kushawishi.
 
Kata ya vingunguti uchaguzi umeahilishwa kwa kukosekana shahada za kupigia kura utafanyika j2 ni baada ya magamba kuona hali imewakalia vibaya ni sheeeeeeda
 
CCM mbinu iliyobaki ni kuweka pingamizi tu vinginevyo mtaomba poo
 
10868265_790352147704248_7581119454182738349_n.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
aisee tumebaki na mikoa ya baharini tu du hatari sana tutafutika kama kanu hebu itisheni kikao
 
Kawe wafuasi wa ccm warusha chupa ovyo ovyo baada ya kuonana dalili za kuahindwa hali si shwari kwa mgombea wa ccm mr ngonyani
 
Huku Sae sisi mtaa wa Hayanga bado tunasubiri matokeo hawajatangaza tupo tunasubiria makamanda tupo hapa kibao mpaka kieleweke wazee tuko pamoja
 
Mtaa wa Tegeta wagombea wenyeviti ni wawili tu ambao ni kutoka ACT-TANZANIA NA CCM,CCM baada ya kuona wameelekea kushindwa wamevamia box la kura na kuzimwaga chini ambapo hadi sasa imepelekea mzozo mkubwa wapinzani wameelekea kwa mkurugenzi baada ya msimamizi wa uchaguzi kugoma kusitisha zoezi na CCM wakipambana zoezi liendelee,hali tete sana CCM Inasikitisha kukifanyia hujuma chama ambacho hata miezi 7 hakina kweli Act imekuja kuweka historia

Muongo mkubwa wewe. Shetani wahed. Mfyssss!
 
Back
Top Bottom