Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Huko Mkoani Mara Wilayani Tarime kijiji cha Nyasaricho kati ya vitongoji 5 tayari Chadema wameshachukua kitongoji kimoja na uchaguzi ya kijiji Mgombea wa Chadema anaongoza kwa 87 dhidi ya 12 za mgombea wa ccm.
N.b:- ni matokeo ya kitongoji kimoja kati ya vitano hvyo matokeo yanaweza kubadilika mda wowote
 
ccm inazidi kupasua anga wamepiga mitaa aaaaaaaaaaaaaa kibao dadadeki

Dah! Nimefurahi sana aisee! Wananchi wanajua wamchague nani na wamwache nani!
Nawashukuru sana Watanzania kwa kuujali mshikamano na Umoja ulioletwa na chama chenu cha CCM.
The feeling is so overwhelming!
 
ccm ya shinda nyumbani kwa God bless lema kata ya Engutoto mtaa wa blok D
 
Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga kata ya Kizwite Ofisi za mtendaji wa kata zimepigwa kibiriti na vijana kisa ni kuchelewa kwa karatasi na mazingira flan flani ya hujuma.
 
Mtaa wa Tegeta wagombea wenyeviti ni wawili tu ambao ni kutoka ACT-TANZANIA NA CCM,CCM baada ya kuona wameelekea kushindwa wamevamia box la kura na kuzimwaga chini ambapo hadi sasa imepelekea mzozo mkubwa wapinzani wameelekea kwa mkurugenzi baada ya msimamizi wa uchaguzi kugoma kusitisha zoezi na CCM wakipambana zoezi liendelee,hali tete sana CCM Inasikitisha kukifanyia hujuma chama ambacho hata miezi 7 hakina kweli Act imekuja kuweka historia
 
Mpwa Lushoto ipi ndgu
yangu? Kiukweli kikitokea kijiji kimoja tu kimeenda upinzani nitafunga
safari kumsabahi huyo mchaguliwa na wachaguaji kwa ujumla.

Achana nao, kelele ndio asili yao hao. Mtu mwenye uzalendo hawezi kuwapigia kura watu wasio na mtazamo wa kizalendo, wabaguzi, wenye mtazamo wa kugawanya watu.
Nchi hii imejengwa katika umoja, leo mtu afungue kampuni ya ukoo aisajili iwe chama halafu aseme watu wote wanamuunga mkono ni jambo la kujihoji sana.
 
Nipo hapa Mbeya, kada wa chama tawala. Hata hivyo pita pita ya ngu mitaani hadi kule Rungwe nimejionea mwenyewe hali ilivyo tete kwa CCM.

Ni kama CHADEMA wao wamejitayarisha vizuri, na wapo kila mahala. Huu si oungo ,maana wameteka vijana wengi na bendera hasa Ile pana ziko kila mahala.

Jana niliona magari kadhaa ya matangazo na uhamasishaji ya CHADEMA, lakini sikubahatika kuona hata moja la CCM.

Nimefika Kiwira ndo balaa! Mchana vijana walifunga barabara kwa mdundiko uliokuwa ukiongozwa na gari ya matangazo ya CDM!

CCM najionea huruma lakini tusubiri tu.
Mkuu siyo huko kwenu tu, hebu shuhudia kwingineko.

Monduli; Kitongoji Kambi ya Mkaa


CHADEMA 27
CCM 13


Mwanga Mtaa wa Lwami;


CHADEMA 55
CCM 35


Arumeru Magh. Kitongoji Endulele


CHADEMA 170


CCM 130


Ushirombo mjini;


CHADEMA inaongoza vitongoji 10
CCM inaongoza vitongoji 4


Moshi Manispaa; Kitongoji Longuo A


CHADEMA 206
CCM 66


Mbozi Mtaa wa Mbugani


CHADEMA 227
CCM 160


Mbozi; Mtaa Masaki


CHADEMA 99
CCM 44


Kigoma Mjini; Mtaa wa Gezaulole


CHADEMA 240
CCM 198


Ukonga- Mtaa wa Kivule Majohe


CHADEMA 231
CCM 77
 
Mtaa wa Tegeta wagombea wenyeviti ni wawili tu ambao ni kutoka ACT-TANZANIA NA CCM,CCM baada ya kuona wameelekea kushindwa wamevamia box la kura na kuzimwaga chini ambapo hadi sasa imepelekea mzozo mkubwa wapinzani wameelekea kwa mkurugenzi baada ya msimamizi wa uchaguzi kugoma kusitisha zoezi na CCM wakipambana zoezi liendelee,hali tete sana CCM Inasikitisha kukifanyia hujuma chama ambacho hata miezi 7 hakina kweli Act imekuja kuweka historia
 
Mtaa wa Lake Tanganyika katika kituo cha Jihad manispaa ya Kigoma Ujiji Chadema wakutwa wakigawa rushwa ya 5000 5000 kwa wapiga kura ili waichague CCM na waikatee ACT-TANZANIA inasikitisha sana ukawa hii mpya kuibukia Kigoma

Wewe kama kweli ni mtoto wa kiume, na kama kweli huwa wenzako hawa ku........ Weka hapa ushahidi usio na shaka kuwa CDM walikuwa wakihonga pesa ili CCM ishinde, usilete ushahidi wa majina ya watu kwamaana hata ZZK anadai ni Cdm lakini bado yupo Ccm, usilete ushahidi wa sare kwamaana zinauzwa hata mtaani na Zzk pia anazo.

Usipoleta ushahidi tutajua kuwa umetumwa na mabwana zako
 
viva ukawa. viva chadema morogoro kata ya kilakala chadema tumeshinda mitaa 3
 
Kumekuchaaa!!!

Karatu Chadema yabeba viti vyote ccm 0 pole Mwigulu Nchemba barabara za fungwa ni shangweeeee !!!
 
Back
Top Bottom