mkuu baadhi ya vyombo vya habari vinaripoti kuwa ndo uhesabuji unaanza sasa unaposema tayari unatia shakaKwa hiyo huamini?
mkuu tayari kuna uzi wa matokeo nenda tupiamods waanzishe thread ya matokeo sasa, watu tunayo matokeo ya wilaya ya mbinga ,
na songea manispaa
mods waanzishe thread ya matokeo sasa, watu tunayo matokeo ya wilaya ya mbinga ,
na songea manispaa
Katika hali ya kushangaza leo chadema wanashirikiana na ccm kigoma ujiji watu wa chadema wanawaambia wananchi tena kwa kuwahonga kuliko kupigia kura act bora wachague ccm hii ni ukawa nyingine mpya
Habari wakuu.
Ikifahamika leo ndiyo iliyokuwa siku rasmi ya uchaguzi kwa ngazi za serikali za mtaa. Huku maeneo ya Mabibo watu wanapiga kura mpaka mara tatu kwani kama inavyofahamika mara upigapo kura basi utapakwa wino kuthibitisha kwamba umeshapiga kura lakini wino huo hautumiki badala yake mtu akishapiga kura anaondoka hivyohivyo na hii inatoa mwanya kwa mpigaji kwenda kituo kingine kupiga kura tena.
Kwa tafiti nilizofanya kituo hiki kimenunuliwa na CCM kwa hiyo kila kinachoendelea mahali hapa pamoja na kuvunjwa kwa kanuni za uchaguzi hakuna anayehoji wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi huu.
Nayasubiria matokeo ya kupikwa yatangazwe.
Katika hali ya kushangaza leo chadema wanashirikiana na ccm kigoma ujiji watu wa chadema wanawaambia wananchi tena kwa kuwahonga kuliko kupigia kura act bora wachague ccm hii ni ukawa nyingine mpya
Hayo matokeo umepewa na nani?
Na nyie RAIA mmekuwa dhaifu sana, mtu anatoa rushwa mnamwangalia tu? Huyo alikuwa Wa kuchoma moto kabisa, hana tofauti na vibaka mnaowatia kiberiti mkidai nyie ni raia wenye hasira kali au kama ni m-mama mngemgegeda hadharani!! Mkuu mmeonesha udhaifu mkubwa kabisa!!
Ccm hapa Wilaya ya kinondoni imeshinda kwa kisindo sana