Katika uchaguzi wa serikali za Mitaa unaofanyika leo Jumapili, tarehe 14/12/2014 kuna dosari/mapungufu mengi yaliyojitokeza katika maeneo mbalimbali ya Jimbo la Ubungo. Dosari hizi ni za makusudi kabisa.
Mpaka sasa dosari zimeonekana katika maeneo yafuatayo;
[TABLE="class: MsoTableGrid, width: 553"]
[TR]
[TD="width: 42"] Na.[/TD]
[TD="width: 96"] KATA[/TD]
[TD="width: 120"] Mtaa[/TD]
[TD="width: 480"] Mapungufu/Dosari[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 1[/TD]
[TD="width: 96"] KIBAMBA[/TD]
[TD="width: 120"] Kiluvya[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Gogoni[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Kibamba[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna Wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 2[/TD]
[TD="width: 96"] KWEMBE[/TD]
[TD="width: 120"] Mji Mpya[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna Wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Kwembe[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna Wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 3[/TD]
[TD="width: 96"] MBEZI[/TD]
[TD="width: 120"] Msumi[/TD]
[TD="width: 480"] · Vifaa vya uchaguzi vilichelewa mpaka saa 4:30 asubuhi · Mpigakura amekamatwa na karatasi ya kupigia kura akielekea kituoni kupiga kura[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Mshikamano[/TD]
[TD="width: 480"] · Vifaa vya uchaguzi vilichelewa mpaka saa 3:30 asubuhi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Luis[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna wino · Hiace ya mjumbe wa CCM inawabeba wapiga kura. Hiace hii inaendeshwa na dereva anayeitwa Salum ambaye ni kada wa CCM.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 4[/TD]
[TD="width: 96"] GOBA[/TD]
[TD="width: 120"] Kunguru[/TD]
[TD="width: 480"] · Wajumbe wa CHADEMA waliwekewa nembo ya CCM · Wajumbe wa CHADEMA-Viti maalum waliwekewa nembo ya CUF · Karatasi za kupigia kura zilichapwa upya na zoezi la uchaguzi lilianza saa 6:00 mchana [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Goba[/TD]
[TD="width: 480"] · Mwenyekiti wa UKAWA kupitia CUF, jina lake lilikosewa, wakaamua kuandika kwa mkono na zoezi la uchaguzi likaendelea.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 5[/TD]
[TD="width: 96"] SARANGA[/TD]
[TD="width: 120"] Ukombozi[/TD]
[TD="width: 480"] · Uchaguzi ulianza saa 3:30 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi kama ilivyopangwa kwa sababu CCM walifanya vurugu walikuwa wanamzuia mgombea wa CUF asipige kura.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Matangini[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna wino · Uchaguzi ulianza saa 3 asubuhi · Kura zinapigwa katika ofisi ya MEO ambayo ni ndogo sana ulinganisha na wapiga kura 3169. · MEO alikataa kufanya uchaguzi katika majengo ya Shule ya Msingi ya Matangini ambayo yana nafasi ya kutosha. · Wapiga kura wanapata tabu kuhakiki majina yao katika mbao za matangazo kwa sababu eneo ni finyu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 6[/TD]
[TD="width: 96"] KIMARA[/TD]
[TD="width: 120"] Kimara-Baruti[/TD]
[TD="width: 480"] · MEO amewaambia wapigakura wamchague mjumbe mmoja tu badala ya watatu · Wino ulifika saa 5 asubuhi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Golani[/TD]
[TD="width: 480"] · Majina ya wapigakura yaliopo ukutani yamepauka kwa hiyo wapigakura wanashindwa kuhakiki majina yao[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Mavurunza[/TD]
[TD="width: 480"] · Hapakuwa na wino mwanzoni, baadae na Mgombea wa CHADEMA aliamua kununua wino mwenyewe. · Askari/Polisi walikuwa wanawapigia kura wapigakura katika Kituo cha Millenium baada ya kushutukiwa na Mgombea wa CHADEMA waliamua kumkimbiza ili wamkamate kwa kisingizio kwamba anafanya vurugu katika kituo cha kupigia kura.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 7[/TD]
[TD="width: 96"] UBUNGO[/TD]
[TD="width: 120"] NHC[/TD]
[TD="width: 480"] · Kulikuwa na vurugu asubuhi wakati mamluki alipokamatwa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Chuo Kikuu[/TD]
[TD="width: 480"] · Mpigakura aliyejiandikisha katika vituo viwili tofauti alikamatwa · Kulikuwa na mtu anayegawa fedha ala baadae alitokomea kusikojulikana[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Kisiwani[/TD]
[TD="width: 480"] · Mpigakura alikuta jina lake limeshapigiwa kura na mtu mwingine.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Kibo[/TD]
[TD="width: 480"] · Hakuna wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 8[/TD]
[TD="width: 96"] MAKUBURI[/TD]
[TD="width: 120"] Mwongozo[/TD]
[TD="width: 480"] · Jina la mgombea Uenyekiti wa CHADEMA limekosewa · Kuna mazingira ya vurugu [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"][/TD]
[TD="width: 96"][/TD]
[TD="width: 120"] Makuburi-Kibangu[/TD]
[TD="width: 480"] · CCM walifanya vurugu asbuhi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 9[/TD]
[TD="width: 96"] MSIGANI[/TD]
[TD="width: 120"] Kwa Yusufu[/TD]
[TD="width: 480"] · Kuna kundi la CCM limeandaliwa kuharibu uchaguzi · Hakuna wino[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 10[/TD]
[TD="width: 96"] MABIBO[/TD]
[TD="width: 120"] Mabibo[/TD]
[TD="width: 480"] · Uchaguzi umeahirishwa kwa sababu karatasi za kupigia kura ziliandikwa mtaa wa Kanuni badala ya Mabibo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 11[/TD]
[TD="width: 96"] MAKURUMLA[/TD]
[TD="width: 120"] Kilimahewa[/TD]
[TD="width: 480"] · CCM wamefanya vurugu na kumpiga mgombea wa CUF[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 42"] 12[/TD]
[TD="width: 96"] SINZA[/TD]
[TD="width: 120"] A,B,C na D[/TD]
[TD="width: 480"] · Wino uliletwa saa 6 mchana[/TD]
[/TR]
[/TABLE]