masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Gwe mbombo ngafu, nalinga isile hali mbaya!Mwandosya akisako ku kampeni?
Gwe mbombo ngafu, nalinga isile hali mbaya!Mwandosya akisako ku kampeni?
Tununu Malafyale , niko huku nikiona kyama kinavyobomolewa!Mkuu twa masiku!
Kwenye namba 11 yaani MAKURUMLA-KILIMAHEWAKatika uchaguzi wa serikali za Mitaa unaofanyika leo Jumapili, tarehe 14/12/2014 kuna dosari/mapungufu mengi yaliyojitokeza katika maeneo mbalimbali ya Jimbo la Ubungo. Dosari hizi ni za makusudi kabisa.
Mpaka sasa dosari zimeonekana katika maeneo yafuatayo;
Na. KATA Mtaa Mapungufu/Dosari 1 KIBAMBA Kiluvya · Hakuna wino Gogoni · Hakuna wino Kibamba · Hakuna Wino 2 KWEMBE Mji Mpya · Hakuna Wino Kwembe · Hakuna Wino 3 MBEZI Msumi · Vifaa vya uchaguzi vilichelewa mpaka saa 4:30 asubuhi · Mpigakura amekamatwa na karatasi ya kupigia kura akielekea kituoni kupiga kura Mshikamano · Vifaa vya uchaguzi vilichelewa mpaka saa 3:30 asubuhi Luis · Hakuna wino · Hiace ya mjumbe wa CCM inawabeba wapiga kura. Hiace hii inaendeshwa na dereva anayeitwa Salum ambaye ni kada wa CCM. 4 GOBA Kunguru · Wajumbe wa CHADEMA waliwekewa nembo ya CCM · Wajumbe wa CHADEMA-Viti maalum waliwekewa nembo ya CUF · Karatasi za kupigia kura zilichapwa upya na zoezi la uchaguzi lilianza saa 6:00 mchana Goba · Mwenyekiti wa UKAWA kupitia CUF, jina lake lilikosewa, wakaamua kuandika kwa mkono na zoezi la uchaguzi likaendelea. 5 SARANGA Ukombozi · Uchaguzi ulianza saa 3:30 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi kama ilivyopangwa kwa sababu CCM walifanya vurugu walikuwa wanamzuia mgombea wa CUF asipige kura. Matangini · Hakuna wino · Uchaguzi ulianza saa 3 asubuhi · Kura zinapigwa katika ofisi ya MEO ambayo ni ndogo sana ulinganisha na wapiga kura 3169. · MEO alikataa kufanya uchaguzi katika majengo ya Shule ya Msingi ya Matangini ambayo yana nafasi ya kutosha. · Wapiga kura wanapata tabu kuhakiki majina yao katika mbao za matangazo kwa sababu eneo ni finyu 6 KIMARA Kimara-Baruti · MEO amewaambia wapigakura wamchague mjumbe mmoja tu badala ya watatu · Wino ulifika saa 5 asubuhi Golani · Majina ya wapigakura yaliopo ukutani yamepauka kwa hiyo wapigakura wanashindwa kuhakiki majina yao Mavurunza · Hapakuwa na wino mwanzoni, baadae na Mgombea wa CHADEMA aliamua kununua wino mwenyewe. · Askari/Polisi walikuwa wanawapigia kura wapigakura katika Kituo cha Millenium baada ya kushutukiwa na Mgombea wa CHADEMA waliamua kumkimbiza ili wamkamate kwa kisingizio kwamba anafanya vurugu katika kituo cha kupigia kura. 7 UBUNGO NHC · Kulikuwa na vurugu asubuhi wakati mamluki alipokamatwa. Chuo Kikuu · Mpigakura aliyejiandikisha katika vituo viwili tofauti alikamatwa · Kulikuwa na mtu anayegawa fedha ala baadae alitokomea kusikojulikana Kisiwani · Mpigakura alikuta jina lake limeshapigiwa kura na mtu mwingine. Kibo · Hakuna wino 8 MAKUBURI Mwongozo · Jina la mgombea Uenyekiti wa CHADEMA limekosewa · Kuna mazingira ya vurugu Makuburi-Kibangu · CCM walifanya vurugu asbuhi 9 MSIGANI Kwa Yusufu · Kuna kundi la CCM limeandaliwa kuharibu uchaguzi · Hakuna wino 10 MABIBO Mabibo · Uchaguzi umeahirishwa kwa sababu karatasi za kupigia kura ziliandikwa mtaa wa Kanuni badala ya Mabibo 11 MAKURUMLA Kilimahewa · CCM wamefanya vurugu na kumpiga mgombea wa CUF 12 SINZA A,B,C na D · Wino uliletwa saa 6 mchana
Chadema ikipata mitaa hata kumi tu, Nitatembea uchi Kariakoo.
haujaenda shule jibu kwa fact kama nilizokupa hapo juu...Ukiondoa ile neno hijabu itakuwa vema. .......Tatizo una macho lakini hutaki kuona na siwezi kukulazimisha na mbaya zaidi unayemdhania wewe kuwa ndo nafuu kwa bahati mbaya ndo hatari so better zimwi tulijualo
kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Akangele nungwe tukulonda abakekeGwe mbombo ngafu, nalinga isile hali mbaya!
Chadema ikipata mitaa hata kumi tu, Nitatembea uchi Kariakoo.