🤣 watu waoga ndani ya mioyo mashujaa mbele ya Mzee tu naona wakitoka hapa wanaenda kuoga na sanitizer. Respect to family wametuma clear message wote barakoa.Simuoni kabisa, nipo mbele ya TV hapa
🤣 watu waoga ndani ya mioyo mashujaa mbele ya Mzee tu naona wakitoka hapa wanaenda kuoga na sanitizer. Respect to family wametuma clear message wote barakoa.Simuoni kabisa, nipo mbele ya TV hapa
Ujumbe unampa nani?
Familia wameshafimywa na mdudu hawataki masihara mkuu.kituko...makamu wa rais, waziri mkuu, naibu spika hawajavaa barakoa ili kuunga mkono kauli ya mungu wa chatoo kwamba tz hakuna "kolona"!!!.
lakini familia yoote ya Kijazi wamevaa barakoa!!!.
Familia wameshafimywa na mdudu hawataki masihara mkuu.
HajavaaJiwe amevaa barakoa?
Yule mzee mwenye macho makubwa akiongea anayependa camera mbona haonekani leo🤣 watu waoga ndani ya mioyo mashujaa mbele ya Mzee tu naona wakitoka hapa wanaenda kuoga na sanitizer. Respect to family wametuma clear message wote barakoa.
Ila kaweka kiti mbali kawakimbia washikaji zakeHajavaa
Dorothy ameamvaa barakoa ila boss hajavaawatu waoga ndani ya mioyo mashujaa mbele ya Mzee tu naona wakitoka hapa wanaenda kuoga na sanitizer. Respect to family wametuma clear message wote barakoa.
Umevaa barkoa lakini.Simuoni kabisa, nipo mbele ya TV hapa
kituko...makamu wa rais, waziri mkuu, naibu spika hawajavaa barakoa ili kuunga mkono kauli ya mungu wa chatoo kwamba tz hakuna "kolona"!!!.
lakini familia yoote ya Kijazi wamevaa barakoa!!!.
Za kuambiwa changanya na zako - JKJk kajiongeza ki Legend.
Wakati wanatuaminisha kuwa chanzo hizo siyo salama?
Boss tutavaaje wakati tuliambiwa na baba kuwa tumishinda korona haiko Tanzania.Wewe vaa barakoa kulinda maisha yako usihesabu wasiovaa
Kuna wengine wameshauriwa kutokuvaa barakoa kwa sababu za kiafya na kuna waliovaa barakoa sababu wanajua tayari wana maambukizi na hawataki kukuambukiza
Anajipenda sana mwenyewe, anachukua tahadhari lakini sisi anatuambia hamna mduduIla kaweka kiti mbali kawakimbia washikaji zake
Sijawahi kumwamini hata sekunde mojaKosa lako ni kumuamini mwanasiasa