Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Tuseme alikuwa muumini wake? Hizo sasa sifa mbaya. Mpeni marehemu heshima kulingana na mahali alikuwa anaabudu.

Gwajima hana luturijia ya mazishi wao kazi kuongea ongea tu. Mbona lakini.
 
Naomba Mh Rais atoe neno la kufukuza hofu ya mapepo ya homa Kali.

Na kumbuka ile spichi ya mapapai ilikuwa game changer hofu yote ikatoweka.
 
Inaumiza na kushanagaza Sana viongozi wetu wote wa serikali hawajavaa barakoa wakati wanamuaga mh balozi kijazi. Rais mstàhafu kikwete amevaa ila makamu wa rais waziri mkuu naibu spika jaji mkuu na makamu wa Zanzibar wako exposed. Watu wa protokali mnawafanya viongozi wetu wawe exposed na vulnerable.
 
Mbunge wa Kawe Askofu Dkt. Gwajima ameongoza sala ya kumuombea marehemu Dr Kijazi nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam na sasa anaongoza msafara ambao umeanza kuelekea viwanja vya Karimjee ili viongozi na wananchi wapate fursa ya kutoa heshima za mwisho.

Zoezi la kutoa heshima za mwisho litaongozwa na mkuu wa nchi Rais Magufuli

Up dates;
Kwanza tuambieni Jiwe yupo?au Bado kajificha uvunguni?

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Kawe Askofu Dkt. Gwajima ameongoza sala ya kumuombea marehemu Dr Kijazi nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam na sasa anaongoza msafara ambao umeanza kuelekea viwanja vya Karimjee ili viongozi na wananchi wapate fursa ya kutoa heshima za mwisho.

Zoezi la kutoa heshima za mwisho pale Karimjee itaongozwa na mkuu wa nchi Rais Magufuli

Up dates;
Mzee wa misiba
 
Huu msiba unachekesha, Polisi wa kawaida wamevaa barakoa, wengine wanaona aibu. JK yeye hajataka unafiki kavaa
 
JK kavaa barakoa.
Jk yuko smart anajiongeza, hawa wengine wanaogopa kutumbuliwa lakini body language yao tu unajuwa waoga mbona mikono hawapeani ila kuvaa barakoa wanaona issue, raia wa kawaida na wana kwaya wamejongeza wameshaona tunapotezwa. Shame kwa viongozi wa serikali. kusalimiana no ila barakoa.... ujinga wa kiwango cha lami
 
Huu msiba unachekesha, Polisi wa kawaida wamevaa barakoa, wengine wanaona aibu. JK yeye hajataka unafiki kavaa
 
Vipaumbele vya hili taifa vimekuwa ni kuuza Sura....., tusipoangalia tutakuta tunainvest zaidi kwenye kuagana wakati mtu ume-RIP kuliko kusaidiana wakati tupo hai ?

Nina uhakika hizo bajeti / pesa / muda na usumbufu kwa wafiwa hata ungemuuliza marehemu huenda angesema hizo pesa mpeni mke wangu na ndugu zangu ziwasaidie....
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom