Kuombewa na tapeli wa kutumia neno la Mungu, ni kumfungia marehemu milango ya mbinguni. Mshirikina Gwajima mnampa nafasi kama hiyo?Tuseme alikuwa muumini wake? Hizo sasa sifa mbaya. Mpeni marehemu heshima kulingana na mahali alikuwa anaabudu.
Gwajima hana luturijia ya mazishi wao kazi kuongea ongea tu. Mbona lakini.
Mungu na misukule, wapi na wapi! Mbona wamemtenda hivi marehemu? Afadhali niombewe na muumini mwenzangu wa kawaida kuliko na mshirikina Gwajima.