Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,451
- 283,773
Eee bhana eee !Suala Mtela kutembea upande upande nilifikiri ni mimi tu ndio nimemuona, kumbe Mkuu wangu nawe umemstukia?
Vijana wanasikitisha sana kwa kweli!!
Eee bhana eee !Suala Mtela kutembea upande upande nilifikiri ni mimi tu ndio nimemuona, kumbe Mkuu wangu nawe umemstukia?
Vijana wanasikitisha sana kwa kweli!!
Hivi Ludovick na Yuda aliyemsaliti yesu kwa vipande vya fedha,alipogundua makosa yake alichukua uamuzi gani vile?
Hivi wewe umeshawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi?
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Ndugu LUDO hakuna anaekuchukia ila tunakuomba ujidhihirishe uliko na ujisikie aibu kudandia dandia hizo lifti. Tukio la Lwakatare ulihusishwa, siku anatekwa kibanda nawe uliweka uzi hapa kuwa ulipata madhila usiku na kuripoti kituo cha polisi kigogo, Leo tena kwenye gari la viongozi wa ACT ambao walibebeshwa mzigo wa usaliti CDM nawe umo kwenye lifti. Kumbuka kuwa ulibisha kwa kila namna kuwa wewe si msaliti CDM bali wanakusingizia. Kwa wale waislamu Mungu anasema kuwa "Wale wenye maradhi katika nafsi zao mungu huwaongezea" pia wale wanaojinasibisha kuwa wameamini na wakawa wanawadanganya wenzao, hawawadanganyi walioamini bali wanajidanganya nafsi zao". HIVYO JISIKIE AIBU KUSIKIKA KATIKA HADITHI ZA AINA HII KILA MARA TAMBUA KUISHUSHA CREDIBILITY NI RAHISI SANA ILA KUIPANDISHA NI NGUMU SANA.Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.
Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.
Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua.
Namchallenge sasa aje hapa tuongee.
Nataka niongee kidogo.
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.
Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.
Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.
Nataka niongee kidogo.
mkuu kwanini uliamua kuweka maneno yale kama hataki mjadala na ludo?
Hivi wewe umeshawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi?
Kwi kwi kwi teh teh teh.
mbona Ben amekimbia?
ni lini chadema mlimfukuza ludovick uanachama?
Kwa nini usife wewe na familia yenu kuliko kumuombea mwenzako.unastahili kifo wewe muongo mzandiki na mtu wa bei ndogo
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.
Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.
Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.
Nataka niongee kidogo.
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.
Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.
Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.
Nataka niongee kidogo.
Haki sawa,
niko chadema kwa miaka sasa. nimekuwa makao makuu ya chama kwa muda sasa.mwigamba alipoombwa kuja kuwa mhasibu alinikuta.
nimeshiriki naye mambo mengi akinipa malipo yangu akiwa mhasibu wa chama.nimekuwa naye kwenye operation za chama kwenye chaguzi ndogo.mwigamba amekuwa anaandika makala nyingi kupitia kalamu yake.
so tunafahamiana. alipopata matatizo chamani na hatimaye kufukuzwa, na sasa akiwa ACT bado nawasiliana naye.
sasa nilimuomba lift anifikishe dodoma.yeye alikuwa anaenda kigoma. baada ya ajali yeye amerudi dar,mimi niko dodoma naendelea na shughuli zangu.
Duuu kweli kwa haya Ben ana haki ya kuingia mitini kabisa! Unajua una mtisha sana na atakuwa amekimbilia mtaa wa facebook!
Daaa wewe ni kiboko ya Bavicha!
Mkuu Lizaboni unajaribu kusema Ben Saanane nae ni ACT? Ndio maana hadi sasa hajajitokeza? Daaa kumekucha.
Mkuu taratibu ujue utafanya Ben Saanane asijitokeze kabisa!
Mkuu Joseph Ludovick hakika wewe ni mwamba na kiboko wa Bavicha, Maji yamewafika shingoni na wameona wamfiche Ben Saananesababu wanajua akija hapa mambo yote yatakuwa hadharani.
Duuu Mbwembwe zote za Ben na Bavicha kaingia mitini!
Mkuu MSALANI, Ben ameshajitokeza kukabili kimbunga cha Tsunami?
Wewe huyo Yericko wako hajaitwa hapa maana hana lolote, hapa kaitwa Boss wake Ben saanane.
Mkuu tafadhali mwambieni Ben ajitokeze.
Duuu siamini macho yangu Ben Saanane kaingia mitini duuu kweli Ludovick ni kiboko ya bavicha.
Mkuu tafadhali mtoe pangoni Ben
akutane na Kimbunga!
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.
Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.
Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.
Nataka niongee kidogo.