Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Inashangaza ccm na act wanavyobebana humu? Kweli adui wa adui yangu ni rafiki yangu.1+1=11 tafakari
 
Ludovick utaishi kwa unafiki mpaka lini,??,jiweke wazi watu wakujue rangi yako halisi!! Bila shaka mpango wa Mungu kwenye hiyo ajali haukuwa ufe ila ni kuumbua juu ya unafiki wako kwa watanzania.Ni wakati wa kujitafakari upya na kutubu uovu wako wote'
 
mnaona! Kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. Nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. Wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
Sasa nitajibu maswali kama yapo.
Kuanzia mimi ni mwanachama wa chadema.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

acha kujifariji msalitivmkubwa wewe.


Nani bado anakutambua na kukuthamini chadema.


Endelea tu kutumika kama condom k.....m wewe.
 
Mpuuz sana huyu ludo,hivi kuna mtu cdm bado anamthamini huyu msaliti? Anatakiwa afungiwe jiwe la kusagia na kutoswa baharini huyu kima,hana faida duniani labda kuzimu tu!
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Jambo jema na la muhimu tubu na umrudie mungu wako kwa kumsababishia KIBANDA ulemavu wa maisha kwa gharama ya Tsh. 50,000/, nayaandika haya kutokana na hali halisi ya jinsi ulivyojichanganya siku tukio la kutekwa KIBANDA lilivyotokea na hatua zilizochukuliwa hadi sasa.
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

pandambili ipo Dodoma wilaya ya kongwa sio morogoro
 
Hawa misukule ya cdm wananishangaza sana, yani hata uwezo wa kufikiria ni mdogo sana wamebaki wanafuata upepo, ludo kuondoka cdm sio kosa wa dhambi bali ni suala la demokrasia. Kila mtu ama haki ya kujiunga na chama chochote kama mnamuona msaliti hapo cdm amewachia cdm yenu kwanini mnaendelea kumwandama, au ndio mbinu mnazutumia kujenga hicho chama. Pia kama kweli ludo na lwakatare walikuwa wanapanga mipango ile ya kuteka je hiyo ndio demokrasia mnayoipigania? Nakupongeza sana bwana ludo kwa kufichuo mipango ovu ya kudhuru raia
 
Soma hiki kisa kwa makini
AMWAGIWA TINDIKALI NA KUUNGUA VIBAYA MJINI IGUNGA



MFUASI wa CCM, Mussa Tesha (24) akiwa katika hospitali ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, leo. Tesha ameungua usoni na sehemu kadhaa mwilini baada ya kumwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana, ambapo inaelezwa kuwa walimwagia tindikali hiyo alipokuwa katika harakati za kubandika mitaani mabango ya mgombea wa Ubunge jimbo lgunga kwa tiketi ya CCM. Tesha alitarajiwa kuhamishiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Sala leo kwa gharama za CCM
Kumekuwepo na kushutumiana kati ya vyama vya CCM na CHADEMA kutokana na matukio kadhaa ambayo yamekuwa yakitokea, hasa katika kipindi hiki cha Kampeni kuelekea uchaguzi mdogo wa Mbunge wa jimbo la Igunga, kufuatia kujiuzulu kwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo Bw. Rostam Azizi


Vyombo vya usalama na ulinzi vinatakiwa kuwa katika hali ya tahadhari na umakini mkubwa kwa muda wote wa kampeni za uchaguzi katika jimbo hilo, ili kudhibiti vitendo kama hivyo vinavyoweza kupelekea uvunjifu wa amani na utulivu katika kipindi hiki cha kampeni jimboni humo.


MFUASI wa CCM, Mussa Tesha (24) akiwa katika hospitali ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, leo. Tesha ameungua usoni na sehemu kadhaa mwilini baada ya kumwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo na watu wasiofahamika , ambapo inaelezwa kuwa walimwagia tindikali hiyo alipokuwa katika harakati za kupandika mitaani mabango ya mgombea wa Ubunge jimbo lgunga kwa tiketi ya CCM. Tesha alitarajiwa kuhamishiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Sala leo kwa gharama za CCM
Anayemtazama ni Daktari wa hospitali hiyo, Selemani Masinga. (Na Mpigapicha Wetu)

hawa wote ni cdm???????????????????:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed: 255475_4672918827259_1469807297_n.jpg
 
Hawa misukule ya cdm wananishangaza sana, yani hata uwezo wa kufikiria ni mdogo sana wamebaki wanafuata upepo, ludo kuondoka cdm sio kosa wa dhambi bali ni suala la demokrasia. Kila mtu ama haki ya kujiunga na chama chochote kama mnamuona msaliti hapo cdm amewachia cdm yenu kwanini mnaendelea kumwandama, au ndio mbinu mnazutumia kujenga hicho chama. Pia kama kweli ludo na lwakatare walikuwa wanapanga mipango ile ya kuteka je hiyo ndio demokrasia mnayoipigania? Nakupongeza sana bwana ludo kwa kufichuo mipango ovu ya kudhuru raia

Member
verified.png
Array


Join Date : 11th August 2013
Posts : 43
Rep Power : 354
Likes Received29
Likes Given1


[h=2]
icon1.png
[/h]
quote_icon.png
By Baba Kelvin
Cc Joseph Ludovick



Haki sawa,
niko chadema kwa miaka sasa. nimekuwa makao makuu ya chama kwa muda sasa.mwigamba alipoombwa kuja kuwa mhasibu alinikuta.
nimeshiriki naye mambo mengi akinipa malipo yangu akiwa mhasibu wa chama.nimekuwa naye kwenye operation za chama kwenye chaguzi ndogo.mwigamba amekuwa anaandika makala nyingi kupitia kalamu yake.
so tunafahamiana. alipopata matatizo chamani na hatimaye kufukuzwa, na sasa akiwa ACT bado nawasiliana naye.
sasa nilimuomba lift anifikishe dodoma.yeye alikuwa anaenda kigoma. baada ya ajali yeye amerudi dar,mimi niko dodoma naendelea na shughuli zangu.​

ludo alipost hivi jana.
 
huna sifa za kuwa hata balozi wa nyumba kumi,ungekuwa hapa mwanza labda ungekuwa balozi wa dada powa hapo vitunguu!

Vipi, hao wanasiasa wenu makini akina Yericko wanaojipachika Unyerere wasikuwa nao? eti mwanasiasa ajulikanae duniani? hata ujumbe wa nyumba kumi hana.

Na huko Mwanza nifate nini? nnahitajika sana kwetu kuliko huko. Jiulize, wewe Mchagga kwanini umekimbia kwenu na kwenda Mwanza?
 
Ndugu yangu Ludovick inawezekana Mungu amewapa nafasi nyingine ya nyie kubadilika.Hakika Mungu anapotaka kujibu kilio cha watu wake hamna anayeweza kuzuia.Hali waliyonayo Watz ni ngumu sana,si misikitini na makanusani hawaachi kuomba ili hali hii imebadilike.Hivyo unapojaribu kuzuia,inakuwa kama Farao alipokataa kuwaachia Waisraeli.
 
Back
Top Bottom