Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Kama Ben Saanane ni mjinga basi wewe unaakili za nguruwe

Aaaah acha kumpa heshima kubwa km nguruwe, mie husafiri km kadhaa kutafuta nguruwe, pengine anafanana na fisi ambaye hula kinyesi chake tena ukishambuliwa utumbo ukatoka nje huanza kuula kw kudhani ni nyama.
TAFADHALI TUESHIMU NYAMA TUKUFU YA KITI MOTOZ
 
Last edited by a moderator:
Nilifikiri uliogopa kuukabili ukweli.sasa usiondoke. lakini nafikiri utakuwa muungwana kuji limit kwenye mambo yasiyo mahakamani.naamini kiwango hicho cha chini kabisa cha uelewa unacho.
Nimekuwa sipendi kujadili hapa hasa kwa sababu watu wana utambulisho wa kificho.lakini aghalabu nataka niongee nawewe maana unatumia jina halisi.
Kwanza kila mtu mwenye kutumia akili yuko mentally challenged.vingonevyo huyo asiye mentally challenged ni maiti tu.kwa hiyo hilo siyo tusi.umesema vema.
Pili, you are no body special kuhoji eti nimetoa wapi ujasiri kuongea na wewe.
Tatu haya unayoongea juu ya mpango wetu naomba uwe elaborate na specific. siku za karibuni baada ya ushabiki uliopokea hapa jukwaani kutoka kwa fanatic wa chadema, umekuwa muumini wa manipulations. unadanganya kwa kuwa unajua kuna wasiyo interrogate unayosema.
sasa uwe mkweli angalau kwa heshima ya wanajukwaa. kwa hiyo mimi nimehusika vipi kwenye hayo unayoita mipango ya kuhisisha chadema na tukio la jana? tuanzie hapo.

Pumba @ Work!!
 
Maisha ya Ludo ya kuganga njaa yanafanana sana na kina Mchange, Shonza,Mwampamba,Dotto Rangimoto(Mzee wa Ndumba),Salum Ally(juzi.nimemkuta lumumba analialia njaa).na huyu aliyejitoa nccr juzi hapa(jina limentoka).
Maisha ya kujikombakomba mradi.mkono uende kinywani..,ni utumwa uliopitiliza.
 
Nilifikiri uliogopa kuukabili ukweli.sasa usiondoke. lakini nafikiri utakuwa muungwana kuji limit kwenye mambo yasiyo mahakamani.naamini kiwango hicho cha chini kabisa cha uelewa unacho.
Nimekuwa sipendi kujadili hapa hasa kwa sababu watu wana utambulisho wa kificho.lakini aghalabu nataka niongee nawewe maana unatumia jina halisi.
Kwanza kila mtu mwenye kutumia akili yuko mentally challenged.vingonevyo huyo asiye mentally challenged ni maiti tu.kwa hiyo hilo siyo tusi.umesema vema.
Pili, you are no body special kuhoji eti nimetoa wapi ujasiri kuongea na wewe.
Tatu haya unayoongea juu ya mpango wetu naomba uwe elaborate na specific. siku za karibuni baada ya ushabiki uliopokea hapa jukwaani kutoka kwa fanatic wa chadema, umekuwa muumini wa manipulations. unadanganya kwa kuwa unajua kuna wasiyo interrogate unayosema.
sasa uwe mkweli angalau kwa heshima ya wanajukwaa. kwa hiyo mimi nimehusika vipi kwenye hayo unayoita mipango ya kuhisisha chadema na tukio la jana? tuanzie hapo.

yaani wewe unashabikiwa na CCM bado unaendelea kujiita chadema jitadhimimi dogo
 
Ukimaliza kujisaidia nawa mikono, futa mikono yako, kunywa maji mengi, vuta pumzi ndefu, halafu ujaribu tena kuandika uzi wako. Pole sana kaka.
 
Vilevile Ben,
Umeanza kuchangia tu bila kusoma interventions zangu za awali? maana swali kama niko ACT nimeshalijibu kitambo kabisa. lakini kwani na wewe Ben bila shaka na unaowawakilisha au unaojifanya kuwawakilisha mnaogopa ACT kuliko CCM? maana naona mnai harrass kila leo! Kwa chama kikuuuubwa kama chadema, hofu ya chama cha wasaliti ya nini?

Act=ccm
 
ben saanane mbeba sumu = yericko nyerere mnafiki na tapeli, fundi mchundo mganga njaa ufipa
 
Nilifikiri uliogopa kuukabili ukweli.sasa usiondoke. lakini nafikiri utakuwa muungwana kuji limit kwenye mambo yasiyo mahakamani.naamini kiwango hicho cha chini kabisa cha uelewa unacho.
Nimekuwa sipendi kujadili hapa hasa kwa sababu watu wana utambulisho wa kificho.lakini aghalabu nataka niongee nawewe maana unatumia jina halisi.
Kwanza kila mtu mwenye kutumia akili yuko mentally challenged.vingonevyo huyo asiye mentally challenged ni maiti tu.kwa hiyo hilo siyo tusi.umesema vema.
Pili, you are no body special kuhoji eti nimetoa wapi ujasiri kuongea na wewe.
Tatu haya unayoongea juu ya mpango wetu naomba uwe elaborate na specific. siku za karibuni baada ya ushabiki uliopokea hapa jukwaani kutoka kwa fanatic wa chadema, umekuwa muumini wa manipulations. unadanganya kwa kuwa unajua kuna wasiyo interrogate unayosema.
sasa uwe mkweli angalau kwa heshima ya wanajukwaa. kwa hiyo mimi nimehusika vipi kwenye hayo unayoita mipango ya kuhisisha chadema na tukio la jana? tuanzie hapo.

Ludo nilijua una kitu cha kumuumbua Ben Saanane, maana ulimuita kwa muda mrefu ajitokeze, lakini kinyume chake sioni kipya wala hukanushi alichokisema
 
Last edited by a moderator:
Nemesi,
samahani. kama huwezi mijadala ya kisomi uwe mtazamaji. unaongea apriori! nini maana ya unafiki na usaliti? tunaweza kuwa tunatumia wote misamiati hii kumbe kila mmoja anaaply tofauti. tuelewane ili tuongelee kitu kilekile wote.
kwako haya maneno yanamaanisha nini? vilevile nisingependa hapa kuletewa vitu ambavyo umekariri toka kwa wengine tu ukavitapika bila hata kujua context yake.
mfano mambo anayoongea Tundu Lissu ni ya juu sana kwa vichwa vidogo.sasa usituchoshe kwa kuleta hapa mambo ya kukariri. mfano mwingine ni pale wewe mwanachama sijui mshabiki wa chadema unapokuwa mwamuzi kesi inayomhusu naibu katibu mkuu taifa kwa mfano wakati chama hakijatoa hujumu.huko ni kuhangaika na mambo yanayokuzidi kimo na kinyume na maadili ya chama.
lakini waendesha bodboda hawajui maadili ya chama.hao tutawaelewa.

Huna jipya wewe,bora hata huyo bodaboda kuliko wewe unayedharilisha utu wako kwa elfu 50 za mwigulu! Cha msingi labda utueleze mipango uliyo nayo kwa ajili ya kutoa muvi part 2 ya ile ya kwanza uliyocheza ya ugaidi
 
Haya maadishi yenu hayatusaidii nynyi ni wanafiki tu. vijana lakini hamla mwelekeo mnataka madaraka tu nyinyi
 
Mnafiki na Mganga njaa mkubwa!

Msaliti wa Mageuzi usiye na aibu!

Dhambi ya usaliti inatafuna hadi kizazi cha nne!

Na bado!!

Hivi Ludovick na Yuda aliyemsaliti yesu kwa vipande vya fedha,alipogundua makosa yake alichukua uamuzi gani vile?
 
Back
Top Bottom