Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Nasema ukweli mgekufa, hasa wewe ningekunywa wine! Kitendo ulichomfanyia Rwaks ni zaidi ya dhambi zote duniani, tena kwa vipande vya fedha. Naamini Mungu si mzembe atakulipa tena hapa duniani!
 
Hakumtaja kwa sababu walikuwa wamepanga mipango ya kishetani lakini Mungu akawaumbua.

Ushetani aliomfanyia Lwakatare utamtafuna huyo msaliti Ludo mpaka siku atakayozikwa
Kuzikwa ni heshima, huyu ana stahiki hiyo heshima ? Ungeishia hadi siku ya kufa........
 
Swali, hivi Ludo ulijuaje/ulipata vipi habari kuhusu ACT kufanya ziara Kigoma mpaka ukawaomba lifti?
Kigoma , ulishawahi kwenda au ndio mara ya kwanza kwenda?
Kwanini mwenezi wa ACT , aliogopa kutaja jina lako kuwa wewe ulikuwa sehemu ya Msafara wa ACT?

Cc Joseph Ludovick
 
Last edited by a moderator:
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.
 
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.
Huko ACT ulikuwa umetumwa ......ndio maana unasisitiza kuwa Chadema au?niliwahi kuandika kuwa wanaokutumia ndio hawana akili, maana kila mpango unaoshirikishwa huwa unafeli kabla ya kuanza......jaribio lingine lililoshindwa.....
 
Mnafiki na Mganga njaa mkubwa!

Msaliti wa Mageuzi usiye na aibu!

Dhambi ya usaliti inatafuna hadi kizazi cha nne!

Na bado!!

Mungu anammulika na unafiki wake na bado kweli manake adhabu ya mnafiki huwa ni kubwa kuliko ya mchawi! Njaa mbaya sana asee, huyu kijana kakubali kuuza UTU wake bila haya wala aibu!
 
we umeumbuka unataka umuumbue na ben?
_Mungu hakupenda ufe wala kujeruhiwa ili ujue kama wewe ni MSALITI
NA hautakufa ila utaendelea kupata aibu
 
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.
Mwanachama wa CHADEMA huku ukiwa mwanamkalati wa ACT?
 
Mnaona! kama
tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka
ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo.
wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote
in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama
chochote kingine.

kama kweli wewe ni mwanachama wa Chadema, Ebu tueleze ulitoka wapi na Act?
 
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

Kamwe Chadema haiwezi kukaa na shetani nyumba moja.

Muuaji usiye na aibu!
 
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

Nimeshasema CHADEMA HATUKUTAKI Mmeshageuza CHADEMA MAHALA PA KUTAFUTIA UMAARUFU Unaona Hata Z Hataki Kuondoka Kang'ang'ania Kama Kupe.
 

Haki sawa,
niko chadema kwa miaka sasa. nimekuwa makao makuu ya chama kwa muda sasa.mwigamba alipoombwa kuja kuwa mhasibu alinikuta.
nimeshiriki naye mambo mengi akinipa malipo yangu akiwa mhasibu wa chama.nimekuwa naye kwenye operation za chama kwenye chaguzi ndogo.mwigamba amekuwa anaandika makala nyingi kupitia kalamu yake.
so tunafahamiana. alipopata matatizo chamani na hatimaye kufukuzwa, na sasa akiwa ACT bado nawasiliana naye.
sasa nilimuomba lift anifikishe dodoma.yeye alikuwa anaenda kigoma. baada ya ajali yeye amerudi dar,mimi niko dodoma naendelea na shughuli zangu.
 
Last edited by a moderator:
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

Tatizo lako ni unafiki ndugu, sasa tutawezaje kuelewana na mtu mnafiki kama wewe? Mbafiki huwezijua ni mda gani anaongea ukweli au ni mda gani ameuvaa unafiki wake!
 
Back
Top Bottom