Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

nashauri ben usipoteze muda kuongea na wahuni hawa! Let them die at their own

mkuu kwanini uliamua kuweka maneno yale kama hataki mjadala na ludo?
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Kama unaakili timamu kaa kimya kijana katika nyakati hizi cv yako imechafuka sana katika jamii subiri watu wasahau kama utaendelea kujibizana na watu udhalilika hadi kizazi cha nne huo ni ushauri wa bure
 
Kama unaakili timamu kaa kimya kijana katika nyakati hizi cv yako imechafuka sana katika jamii subiri watu wasahau kama utaendelea kujibizana na watu udhalilika hadi kizazi cha nne huo ni ushauri wa bure

kama ana macho asome!
 
Joseph Ludovick unaweza kujipima kisha kujiuliza ni kwa nini wanaokushabikia hapa ni CCM na wasioipenda Chadema?
 
Last edited by a moderator:
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Ludovick,

Umeshakua mentally challenged utatoa wapi uwezo wa kuni-challenge?

Wewe ni ACT au CHADEMA?

Sikua hewani tangu Mchana.Nashangaa huo ujasiri wa kuniita huku umeutoa wapi

Lengo lenu tangu jana ni kutaka kuipakazia ChADEMA kashfa ya mauaji na mlishirikisha baadhi ya waandishi wa habari ambao pia walikimbilia huku kuchangia muda mfupi baada ya Taarifa na mkakati huo kuwafikia.

Wewe na Mohammed Masaga ndio mlikua waratibu wakuu mkipewa maelekezo na Samson Mwigamba

Wewe,Mchange na Mohammed Masaga mlibeba jukumu la kupasambaza siasa chafu dhidi ya CHADEMA kuhusu ajali hii mkihusisha na ajali ya Chacha Wangwe

Pia mmeabdika habari na mkatuma kwenye vyombo vya habari hasa magazeti yanayotoka Jumapili,Jumanne na Jumatano

Ni kipi cha uongo hapa? Kwanza wewe hukutaka ujulikane kuwa ulikuwa katika msafara.

Huwa sipendi sana kujadiliana na wewe maana nitakuonea tu.
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Kuweni Makini.

Hao wachaga wa chadema sio watu hao oooh.

Mnakumbuka walichomfanya marehemu chacha wangwe??

Hao misiba kwao sio kitu.

Si Mnakumbuka hata hivi majuzi kafariki mjumbe wao wa halmashauri kuu huko kigoma hawakwenda wakakimbilia harusini Arusha??

Kuweni nao makini.
 
kweli nimeamini JICHO LA CHADEMA NI KAMA LA TAI ! HAYA WALE WOTE MLIOIAMINI ILE VIDEO FEKI YA UGAIDI WA LWAKATARE , MNA LIPI LA KUSEMA , KUHUSIANA NA LUDO KUFUMANIWA KWENYE GHETTO LA WASALITI ?
wewe hile video si fake Rwakatale ni gaidi.
 
Chadema inaweweseka nini ni ACT??

Kwan wanaoligharim taifa hili si ni CCM??

Hiki kisebu sebu kweli 2015 watafika salama lakini??
 
unastahili kifo wewe muongo mzandiki na mtu wa bei ndogo

Acheni uchuro nyinyi.

Kifo mwenye dhamana nacho ni mungu pekee.

Nyinyi wachaga mbona mna balaa hivi??

Kwaiyo hata chacha wangwe mlimuondoa hivyo hivyo si ni ndiyo??
 
Ben Saanane ni miongoni mwa wajinga wachache ninaowajua nchi hii.

Sio tu ujinga.

Na wenye njaa pia.

Mtu anaejiweza anafikiaje hatua ya kupangiwa hadi chumba cha kulala??

Hawez kuwa huru ni mtu wa kuhurumiwa tu.
 
Unajisikiaje kuona kila mtu anakulaani,unatukanwa!ni aibu kubwa
 
Ludovick,

Umeshakua mentally challenged utatoa wapi uwezo wa kuni-challenge?

Wewe ni ACT au CHADEMA?

Sikua hewani tangu Mchana.Nashangaa huo ujasiri wa kuniita huku umeutoa wapi

Lengo lenu tangu jana ni kutaka kuipakazia ChADEMA kashfa ya mauaji na mlishirikisha baadhi ya waandishi wa habari ambao pia walikimbilia huku kuchangia muda mfupi baada ya Taarifa na mkakati huo kuwafikia.

Wewe na Mohammed Masaga ndio mlikua waratibu wakuu mkipewa maelekezo na Samson Mwigamba

Wewe,Mchange na Mohammed Masaga mlibeba jukumu la kupasambaza siasa chafu dhidi ya CHADEMA kuhusu ajali hii mkihusisha na ajali ya Chacha Wangwe

Pia mmeabdika habari na mkatuma kwenye vyombo vya habari hasa magazeti yanayotoka Jumapili,Jumanne na Jumatano

Ni kipi cha uongo hapa? Kwanza wewe hukutaka ujulikane kuwa ulikuwa katika msafara.


Nonsense...!!

Sasa hapo unaona lipi la maana uliloliongea.

Ajali kama walipanga kujisingizua kama unavyojaribu kufabricate itahusiana vipi na ile ya chacha wangwe??

Au damu ya chacha bado inawarudia rudia??

Mbona mnaweweseka mulimuua chacha au mlisababisha yeye kuuwawa??

Kazana kupigana young boy ukifanya masihara kile chumba ulichopangiwa hapo mitaa ya kati kodi itasitishwa pale.
 
Ludovick,

Umeshakua mentally challenged utatoa wapi uwezo wa kuni-challenge?

Wewe ni ACT au CHADEMA?

Sikua hewani tangu Mchana.Nashangaa huo ujasiri wa kuniita huku umeutoa wapi

Lengo lenu tangu jana ni kutaka kuipakazia ChADEMA kashfa ya mauaji na mlishirikisha baadhi ya waandishi wa habari ambao pia walikimbilia huku kuchangia muda mfupi baada ya Taarifa na mkakati huo kuwafikia.

Wewe na Mohammed Masaga ndio mlikua waratibu wakuu mkipewa maelekezo na Samson Mwigamba

Wewe,Mchange na Mohammed Masaga mlibeba jukumu la kupasambaza siasa chafu dhidi ya CHADEMA kuhusu ajali hii mkihusisha na ajali ya Chacha Wangwe

Pia mmeabdika habari na mkatuma kwenye vyombo vya habari hasa magazeti yanayotoka Jumapili,Jumanne na Jumatano

Ni kipi cha uongo hapa? Kwanza wewe hukutaka ujulikane kuwa ulikuwa katika msafara.

Acha kubishana na wenye ubongo wa mbeng'o usije ukafananishwa nai mkuu. Kila hila ya Ludovick na kundi lake itaumbuliwa hadharani. Natamani hiyo ajalu ingemfumua ubongo.
 
Acha kubishana na wenye ubongo wa mbeng'o usije ukafananishwa nai mkuu. Kila hila ya Ludovick na kundi lake itaumbuliwa hadharani. Natamani hiyo ajalu ingemfumua ubongo.

Asanteni wakuu,

Hawa wendawazimu hatutabishana na nao hata kidogo ila tuta-deal fairly and squarely na wale wanaowatumia.

I'm out for now !
 
Back
Top Bottom