Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Wewe ndo mjinga
badala ya kujibu hoja
unashambulia mtoa hoja.
 
Chadema inaweweseka nini ni ACT??

Kwan wanaoligharim taifa hili si ni CCM??

Hiki kisebu sebu kweli 2015 watafika salama lakini??
Unapata shida na utakufa kwa stroke mwaka huu. Huyo kiazi Manyerere Jackton aliingia mitini jana na wewe utasahaulika kama mjinga mwenzio Manyerere
 
Last edited by a moderator:
Asanteni wakuu,

Hawa wendawazimu hatutabishana na nao hata kidogo ila tuta-deal fairly and squarely na wale wanaowatumia.

I'm out for now !

Sure kapumzike mkuu upate nguvu. Sisi tupo tutawakomesha tu. Wasituletee njaa zao hapa. Hana hadhi ananunuliwa kwa vocha ya buku. Kwanza achukue kioo amulike Elimu yake ya ngumbaro a.k.a Memkwa ndiyo aje kupambana na wewe.
 
Sure kapumzike mkuu upate nguvu. Sisi tupo tutawakomesha tu. Wasituletee njaa zao hapa. Hana hadhi ananunuliwa kwa vocha ya buku. Kwanza achukue kioo amulike Elimu yake ya ngumbaro a.k.a Memkwa ndiyo aje kupambana na wewe.

Sasa hapo utakuwa una mkashifu mwenyekiti wako wa chama.
 
Kama Ben Saanane ni mjinga basi wewe unaakili za nguruwe

Bora nguruwe tunakula nyama na mbolea. Ubongo wa mende, funza na chawa za walio wachafu ni stahili ya Ludovick na kundi lake. Mchange lilihongwa likauza ushindi pimbi hili.
 
Last edited by a moderator:
kama kijiwe cha roho mbaya,majungu,uzandiki.....i wonder if this is a great thinkers forum.....
 
Ludovick,

Umeshakua mentally challenged utatoa wapi uwezo wa kuni-challenge?

Wewe ni ACT au CHADEMA?

Sikua hewani tangu Mchana.Nashangaa huo ujasiri wa kuniita huku umeutoa wapi

Lengo lenu tangu jana ni kutaka kuipakazia ChADEMA kashfa ya mauaji na mlishirikisha baadhi ya waandishi wa habari ambao pia walikimbilia huku kuchangia muda mfupi baada ya Taarifa na mkakati huo kuwafikia.

Wewe na Mohammed Masaga ndio mlikua waratibu wakuu mkipewa maelekezo na Samson Mwigamba

Wewe,Mchange na Mohammed Masaga mlibeba jukumu la kupasambaza siasa chafu dhidi ya CHADEMA kuhusu ajali hii mkihusisha na ajali ya Chacha Wangwe

Pia mmeabdika habari na mkatuma kwenye vyombo vya habari hasa magazeti yanayotoka Jumapili,Jumanne na Jumatano

Ni kipi cha uongo hapa? Kwanza wewe hukutaka ujulikane kuwa ulikuwa katika msafara.

Huwa sipendi sana kujadiliana na wewe maana nitakuonea tu.

Nilifikiri uliogopa kuukabili ukweli.sasa usiondoke. lakini nafikiri utakuwa muungwana kuji limit kwenye mambo yasiyo mahakamani.naamini kiwango hicho cha chini kabisa cha uelewa unacho.
Nimekuwa sipendi kujadili hapa hasa kwa sababu watu wana utambulisho wa kificho.lakini aghalabu nataka niongee nawewe maana unatumia jina halisi.
Kwanza kila mtu mwenye kutumia akili yuko mentally challenged.vingonevyo huyo asiye mentally challenged ni maiti tu.kwa hiyo hilo siyo tusi.umesema vema.
Pili, you are no body special kuhoji eti nimetoa wapi ujasiri kuongea na wewe.
Tatu haya unayoongea juu ya mpango wetu naomba uwe elaborate na specific. siku za karibuni baada ya ushabiki uliopokea hapa jukwaani kutoka kwa fanatic wa chadema, umekuwa muumini wa manipulations. unadanganya kwa kuwa unajua kuna wasiyo interrogate unayosema.
sasa uwe mkweli angalau kwa heshima ya wanajukwaa. kwa hiyo mimi nimehusika vipi kwenye hayo unayoita mipango ya kuhisisha chadema na tukio la jana? tuanzie hapo.
 
Ludovick,

Umeshakua mentally challenged utatoa wapi uwezo wa kuni-challenge?

Wewe ni ACT au CHADEMA?

Sikua hewani tangu Mchana.Nashangaa huo ujasiri wa kuniita huku umeutoa wapi

Lengo lenu tangu jana ni kutaka kuipakazia ChADEMA kashfa ya mauaji na mlishirikisha baadhi ya waandishi wa habari ambao pia walikimbilia huku kuchangia muda mfupi baada ya Taarifa na mkakati huo kuwafikia.

Wewe na Mohammed Masaga ndio mlikua waratibu wakuu mkipewa maelekezo na Samson Mwigamba

Wewe,Mchange na Mohammed Masaga mlibeba jukumu la kupasambaza siasa chafu dhidi ya CHADEMA kuhusu ajali hii mkihusisha na ajali ya Chacha Wangwe

Pia mmeabdika habari na mkatuma kwenye vyombo vya habari hasa magazeti yanayotoka Jumapili,Jumanne na Jumatano

Ni kipi cha uongo hapa? Kwanza wewe hukutaka ujulikane kuwa ulikuwa katika msafara.

Huwa sipendi sana kujadiliana na wewe maana nitakuonea tu.
Mbona umeficha kumtaja huyo muandishi tutajuaje unasema ukweli?
KUMEKUCHA.
CC MSALANI Ritz
 
Last edited by a moderator:
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

Nimecheka sana! Hata usutwi na roho yako mwenyewe. Wewe ni chadema kweli? Na ukapateje ajali ukiwa ktk gari la uenezi wa chama cha act-t.? kauli yako inatofauti gani na ile ya msaliti mwenzio mm2 anaposema atakuwa wa mwisho kutoka chadema huku akikipeleka chama chake mahakamani.
 
Nilifikiri uliogopa kuukabili ukweli.sasa usiondoke. lakini nafikiri utakuwa muungwana kuji limit kwenye mambo yasiyo mahakamani.naamini kiwango hicho cha chini kabisa cha uelewa unacho.
Nimekuwa sipendi kujadili hapa hasa kwa sababu watu wana utambulisho wa kificho.lakini aghalabu nataka niongee nawewe maana unatumia jina halisi.
Kwanza kila mtu mwenye kutumia akili yuko mentally challenged.vingonevyo huyo asiye mentally challenged ni maiti tu.kwa hiyo hilo siyo tusi.umesema vema.
Pili, you are no body special kuhoji eti nimetoa wapi ujasiri kuongea na wewe.
Tatu haya unayoongea juu ya mpango wetu naomba uwe elaborate na specific. siku za karibuni baada ya ushabiki uliopokea hapa jukwaani kutoka kwa fanatic wa chadema, umekuwa muumini wa manipulations. unadanganya kwa kuwa unajua kuna wasiyo interrogate unayosema.
sasa uwe mkweli angalau kwa heshima ya wanajukwaa. kwa hiyo mimi nimehusika vipi kwenye hayo unayoita mipango ya kuhisisha chadema na tukio la jana? tuanzie hapo.

Ben Saanane tafadhali usikimbie.
 
Last edited by a moderator:
nimecheka sana! Hata usutwi na roho yako mwenyewe. Wewe ni chadema kweli? Na ukapateje ajali ukiwa ktk gari la uenezi wa chama cha act-t.? Kauli yako inatofauti gani na ile ya msaliti mwenzio mm2 anaposema atakuwa wa mwisho kutoka chadema huku akikipeleka chama chake mahakamani.

ni lini chadema mlimfukuza ludovick uanachama?
 
Vilevile Ben,
Umeanza kuchangia tu bila kusoma interventions zangu za awali? maana swali kama niko ACT nimeshalijibu kitambo kabisa. lakini kwani na wewe Ben bila shaka na unaowawakilisha au unaojifanya kuwawakilisha mnaogopa ACT kuliko CCM? maana naona mnai harrass kila leo! Kwa chama kikuuuubwa kama chadema, hofu ya chama cha wasaliti ya nini?
 
Vilevile Ben,
Umeanza kuchangia tu bila kusoma interventions zangu za awali? maana swali kama niko ACT nimeshalijibu kitambo kabisa. lakini kwani na wewe Ben bila shaka na unaowawakilisha au unaojifanya kuwawakilisha mnaogopa ACT kuliko CCM? maana naona mnai harrass kila leo! Kwa chama kikuuuubwa kama chadema, hofu ya chama cha wasaliti ya nini?

Njoo Ben!
 
Vilevile Ben,
Umeanza kuchangia tu bila kusoma interventions zangu za awali? maana swali kama niko ACT nimeshalijibu kitambo kabisa. lakini kwani na wewe Ben bila shaka na unaowawakilisha au unaojifanya kuwawakilisha mnaogopa ACT kuliko CCM? maana naona mnai harrass kila leo! Kwa chama kikuuuubwa kama chadema, hofu ya chama cha wasaliti ya nini?
Tunapambana na unafki na usaliti mnaoutumikia kimkakati kulinda mfumo wa utawala uliopo,
 
Mkuu hizo Ni tabia za Mashoga. Ajabu moja Ni kuwa wale wote wanamtukuza na kutumiwa na Madelu wanatabia hizo! Ona Mtela yule mtoto kaharibiwa sana mpaka tembea yake inatia mashaka.

Suala Mtela kutembea upande upande nilifikiri ni mimi tu ndio nimemuona, kumbe Mkuu wangu nawe umemstukia?
Vijana wanasikitisha sana kwa kweli!!
 
Tunapambana na unafki na usaliti mnaoutumikia kimkakati kulinda mfumo wa utawala uliopo,

Nemesi,
samahani. kama huwezi mijadala ya kisomi uwe mtazamaji. unaongea apriori! nini maana ya unafiki na usaliti? tunaweza kuwa tunatumia wote misamiati hii kumbe kila mmoja anaaply tofauti. tuelewane ili tuongelee kitu kilekile wote.
kwako haya maneno yanamaanisha nini? vilevile nisingependa hapa kuletewa vitu ambavyo umekariri toka kwa wengine tu ukavitapika bila hata kujua context yake.
mfano mambo anayoongea Tundu Lissu ni ya juu sana kwa vichwa vidogo.sasa usituchoshe kwa kuleta hapa mambo ya kukariri. mfano mwingine ni pale wewe mwanachama sijui mshabiki wa chadema unapokuwa mwamuzi kesi inayomhusu naibu katibu mkuu taifa kwa mfano wakati chama hakijatoa hujumu.huko ni kuhangaika na mambo yanayokuzidi kimo na kinyume na maadili ya chama.
lakini waendesha bodboda hawajui maadili ya chama.hao tutawaelewa.
 
Vilevile Ben,
Umeanza kuchangia tu bila kusoma interventions zangu za awali? maana swali kama niko ACT nimeshalijibu kitambo kabisa. lakini kwani na wewe Ben bila shaka na unaowawakilisha au unaojifanya kuwawakilisha mnaogopa ACT kuliko CCM? maana naona mnai harrass kila leo! Kwa chama kikuuuubwa kama chadema, hofu ya chama cha wasaliti ya nini?

acho kuonge kama mtu usienda shule wewe,.............ACT si wapinzani hao ni tawi la sisisem thus way treat them as how we treat CCM
 
Back
Top Bottom