Mnafiki na Mganga njaa mkubwa!
Msaliti wa Mageuzi usiye na aibu!
Dhambi ya usaliti inatafuna hadi kizazi cha nne!
Na bado!!
mageuzi yepi unayo yapigia upatu mkuu au name wewe njaa turn!?
Mnafiki na Mganga njaa mkubwa!
Msaliti wa Mageuzi usiye na aibu!
Dhambi ya usaliti inatafuna hadi kizazi cha nne!
Na bado!!
acha kumvimbisha kichwa huyo Ben, ananini cha zaidi ambacho wengine hawana!? au ndio tuseme mahaba yanakusumbua!?
Mkuu Gamaha usishangae,ACT ni mradi wa CCM.Ukiangalia vizuri unaona vijana wa Lumumba wanakitetea sana ACT pamoja na huyu Ludo lazima kuna jambo kubwa nyuma ya pazia kati ya CCM, ACTna Ludo
Jibu maswali yangu yako straight na specific .........utaumbuka .........endeleza ,,,,,,,nimekutajia Julieth Lushuli ili ujue unayepambana naye Ana taarifa kuhusu wewe kwa kiasi gani ...........Jukumu la kumfuatilia Zitto na kundi lake 2009 kwenye uchaguzi wa Chadema ulipewa kama maandalizi ya kukuangalia kama ingefaa kuwa recruited ......ila ukaonekana huna sifa ......ndio maana ukaachwa hadi ulipoanza kutumika na Mwigulu na TISS kwa hoja ya kupata milioni 30 .......unakumbuka ? Yawezekana nikawa ndio mwajiri wako kijana jitetee
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.
Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.
Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.
Nataka niongee kidogo.
Kwenye huu uzi umemtaja Ben Saanane mara nyingi sana mpaka inashangaza..... Kwataarifa tu ni kwamba Ben Saanane ashachumbia kitambo na haitaji mchepuko, we kazana tu kumuita ila ujue wala hakufikirii!
Nimekusoma , nimeelewa unataka kuchukua gloves kimya kimya , so sign out hapa ......Bado kwa maoni yangu hujui hata unachotaka kusema. your words betrays you. kumbe unajua nimewahi kupewa majukumu makubwa kama kumchunguza naibu katibu mkuu! na bado huelewi kuwa nilikuwa na majukumu makao makuu? angesema haya mwanafunzi wa darasa la saba ningeelewa.
Majukumu mengine ulipewa na Mwigulu, kama anavyotoa siri kwenye video hiiBado kwa maoni yangu hujui hata unachotaka kusema. your words betrays you. kumbe unajua nimewahi kupewa majukumu makubwa kama kumchunguza naibu katibu mkuu! na bado huelewi kuwa nilikuwa na majukumu makao makuu? angesema haya mwanafunzi wa darasa la saba ningeelewa.
Bado kwa maoni yangu hujui hata unachotaka kusema. your words betrays you. kumbe unajua nimewahi kupewa majukumu makubwa kama kumchunguza naibu katibu mkuu! na bado huelewi kuwa nilikuwa na majukumu makao makuu? angesema haya mwanafunzi wa darasa la saba ningeelewa.
Mkuu MSALANI, Ben ameshajitokeza kukabili kimbunga cha Tsunami?
Mkuu tafadhali mtoe pangoni BenNimekusoma , nimeelewa unataka kuchukua gloves kimya kimya , so sign out hapa ......
Acha kumtautia njia ya kujificha!Mkuu Ben Saanane ni namba nyingine ile, weka mbali na wasaliti kama Ludo wasije wakahaibika bure.