Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro


Vijana wote wanaojitambua wako ACT
umebaki wewe tu ulieshikiwa akili zako, nasiku ukirudishiwa akili zako atishangaa ulivyokuwa zezeta.

Mafyindo a noko! ACT nacho ni chama gani? Mambulura ndiyo yanayohamia huko lakini watu wenye busara zao wala hawawezi kuhangaika na kutapatapa! Kwa ufupi ni chama cha mataahira kama AlPOLO!!
 
Vipi, hao wanasiasa wenu makini akina Yericko wanaojipachika Unyerere wasikuwa nao? eti mwanasiasa ajulikanae duniani? hata ujumbe wa nyumba kumi hana.

Na huko Mwanza nifate nini? nnahitajika sana kwetu kuliko huko. Jiulize, wewe Mchagga kwanini umekimbia kwenu na kwenda Mwanza?

unadhani kila mtu mchaga? Toka nje ya box uione nuru! Utafanywa msukule wa mafisadi hadi lini? Ntweneki ongwanikebhe!
 
Hawa misukule ya cdm wananishangaza sana, yani hata uwezo wa kufikiria ni mdogo sana wamebaki wanafuata upepo, ludo kuondoka cdm sio kosa wa dhambi bali ni suala la demokrasia. Kila mtu ama haki ya kujiunga na chama chochote kama mnamuona msaliti hapo cdm amewachia cdm yenu kwanini mnaendelea kumwandama, au ndio mbinu mnazutumia kujenga hicho chama. Pia kama kweli ludo na lwakatare walikuwa wanapanga mipango ile ya kuteka je hiyo ndio demokrasia mnayoipigania? Nakupongeza sana bwana ludo kwa kufichuo mipango ovu ya kudhuru raia

we mnyaru unachangia nini? Hujui usaliti wa zzk, ludo na kitiwa mkumbaa?
 
Jambo jema na la muhimu tubu na umrudie mungu wako kwa kumsababishia KIBANDA ulemavu wa maisha kwa gharama ya Tsh. 50,000/, nayaandika haya kutokana na hali halisi ya jinsi ulivyojichanganya siku tukio la kutekwa KIBANDA lilivyotokea na hatua zilizochukuliwa hadi sasa.

My god ! Kumbe ni hivi ?
 
Ndugu yangu Ludovick inawezekana Mungu amewapa nafasi nyingine ya nyie kubadilika.Hakika Mungu anapotaka kujibu kilio cha watu wake hamna anayeweza kuzuia.Hali waliyonayo Watz ni ngumu sana,si misikitini na makanusani hawaachi kuomba ili hali hii imebadilike.Hivyo unapojaribu kuzuia,inakuwa kama Farao alipokataa kuwaachia Waisraeli.

We acha uasherati unataka kutuambia Mungu ni kada wa Chadema?yaani Mungu ashabikie watu kumwagiwa tindikali na kuteka waandishi wa habari,Mungu ashabikie chama,chenye ubishi,kiburi na maandamano?Huyo atakua Mungu wa Kiboroloni mseee wangu,
 
Ndugu yangu Ludovick inawezekana Mungu amewapa nafasi nyingine ya nyie kubadilika.Hakika Mungu anapotaka kujibu kilio cha watu wake hamna anayeweza kuzuia.Hali waliyonayo Watz ni ngumu sana,si misikitini na makanusani hawaachi kuomba ili hali hii imebadilike.Hivyo unapojaribu kuzuia,inakuwa kama Farao alipokataa kuwaachia Waisraeli.

Mungu wetu hawakomboi watu kwa staili ya kishetani kama ya chadema
 
unadhani kila mtu mchaga? Toka nje ya box uione nuru! Utafanywa msukule wa mafisadi hadi lini? Ntweneki ongwanikebhe!

Wewe ni mchagaa kama si mchaga umeolewa na mchaga, bisha!
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Uongee na nani??inasikitisha sana kuona kijana mdogo kama wewe una unafiki wa hali ya juu namna hii,mpuuzi sana we dogo na huo usnitch wako utaishia pabaya sana
 
Pandambili is not even in Morogoro you idiot; Pandambili ni kijiji kinachofuata ukitoka Gairo kama unaelekea Dodoma na kipo katika Wilaya ya Kongwa ambayo ipo mkoa wa Dodoma. Halafu maudhui ya thread yako hii ni nini sasa!
Mkuu upo sahihi,
JF ya leo siyo ya jana, mtu anapotosha anaachiwa.
 
Ufipa imekufa kwa sababu ya laana ya kuombea wenzio mabaya
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Lini utatumia kichwa to work hard na kuachana na ujanja ujnja wa kisiasa? Go get a job
 
We acha uasherati unataka kutuambia Mungu ni kada wa Chadema?yaani Mungu ashabikie watu kumwagiwa tindikali na kuteka waandishi wa habari,Mungu ashabikie chama,chenye ubishi,kiburi na maandamano?Huyo atakua Mungu wa Kiboroloni mseee wangu,

Wauwaji,watesaji wanajulikana.Hakuna mtanzania asiyejua waliomtesa Kibanda na Dr Ulimboka,waliomuua Mwangosi,Ali Zona,Dr Mvungi,mabomu Arusha kwa uratibu wa Mchembe na nk!
 
Mi inaniuma kwanini hamjafa kwenye hiyo ajali maana usaliti wenu pia ulisababisha vifo na majerui wengi kwa watanzania wapenda mabadiliko.
 
Back
Top Bottom