Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Hio picha ipo mtandaoni kwa muda mrefu mkuu... labda kama ulikua hujaiona, ma CCM yanataka ku paint a picture kuwa Lissu hana lolote kwenye kampeni zake zaidi ya kuongelea majeraha yake, ni trick tu hio mkuu watu wahamishe upepo....je umemuona mwenyewe LIssu akitembea na hio picha kuwaonyesha majeraha watu kwenye kampeni zake.??.. sijui kwa nini hayo MaCCM hayako sympathetic, especially knowing aliyetenda yote ni mwanachama wao
Dah!...siasa hizi.
 
Sidhani kama hii itakuwa sahihi kwani itaonekana ni kutafuta huruma jambo ambalo sio zuri.

Picha kama hii wakati wa kampeni sio sahihi sana, na uzuri ni kuwa,kila mtu sasa anaelewa yaliyomkuta Lissu na hata tembea yake ya leo inatosha kuwakumbusha watu aliyopitia, hivyo hakuna haja sana ya kutumia picha hizi kipindi hiki cha kampeni.
LEO NIMEKUELEWA
 
Pamoja na mambo mengine, sisi Watanzania tunataka kusikia ni kwa jinsi gani Ndg Tundu lisu atatutoa hapa tulipo kutupeleka mbele zaidi hasa kiuchumi.

Tunataka wagombea wetu waeleze kinaga ubaga ni kwa jinsi gani wataweza kuifikisha nchi yetu kwenye peek ya uchumi wa kati na jumuishi wa pato la kila mtanzania kufikia wastani wa dola 3000 hapo kufikia mwaka 2025,huku uchumi huo ukichagizwa na maendeleo ya viwanda.

Binafsi picha hizi hazisaidii, watu hawapigi kura kwa huruma bali kwa yule atakayewaletea maendeleo.
Watanzania siyo walemavu ni watu wa kazi.

Wanachohitaji ni haki ya kufurahia jasho lao.

Korosho.

Watumishi wa umma.

Fao la kujitoa.

Uhai.

Biashara.
 
Pamoja na mambo mengine, sisi Watanzania tunataka kusikia ni kwa jinsi gani Ndg Tundu lisu atatutoa hapa tulipo kutupeleka mbele zaidi hasa kiuchumi.

Tunataka wagombea wetu waeleze kinaga ubaga ni kwa jinsi gani wataweza kuifikisha nchi yetu kwenye peek ya uchumi wa kati na jumuishi wa pato la kila mtanzania kufikia wastani wa dola 3000 hapo kufikia mwaka 2025,huku uchumi huo ukichagizwa na maendeleo ya viwanda.

Binafsi picha hizi hazisaidii, watu hawapigi kura kwa huruma bali kwa yule atakayewaletea maendeleo.

Watu WASHAWISHIKE na SERA MBADALA zenye huo mwelekeo wa kututoa kiukweli TULIPOKWAMISHWA. WATU WAELEWE na KUSHAWISHIKA!
 
Tutampa kura ili bashite, jiwe na wasiojulikana na wao wasomeshwe namba 😎😂😂😂😂
 
Hi picha ifutwe, inakiuka maadili ya kitabibu, tunza Siri za mgonjwa/client, niukiukwaji wa human rights, mods, iondoeni haina mlengo mzuri Kama tunavyodhani, uzi ufute
Huwezi jua labda kairuhusu yeye itolewe. Maana anajijua mwenyewe anavyowaza na kuwafikiria watanzania.
 
Pole sana ndugu Tundu Lissu kwa unyama uliofanyiwa lakini kiukweli kwa sasa MAGUFULI anatutosha...Sera zako kiukweli hazina maana sana kwa kipindi hichi tulichopo muda mwingi unatumia kukosoa mfumo na sio kusema kipi utafanya kwenye maendeleo...Sera yako ni katiba mpya , sidhani kama tunashida saaana na katiba mpya kiasi kwamba iwe ndio priority yako ya KWANZA ... subili tumalizane na huyu JPM labda akitoka urudi kuomba tena ila kwa sasa KURA YANGU NI KWA MAGUFULI
 
Mnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
 
Mnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
Mmmmh... Demi hujafa hujaumbika rafiki....tukianza kuzungumzia afya za watu hapa kimwili na kiakili.....!!!naomba tuhifadhi maneno
 
Mnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
Kumbe na wewe demi kichwani kweupee hivi??? Sasa jf Great thinkers kabaki mshana au
 
Mnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
Hujafa hujaumbika kuwa na akiba ya maneno.

Unaweza kutoka kwako mzima ukarudishwa huna Miguu au mikono.
 
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Haya hapa
2292290_2108469_IMG_20190708_112420_395.jpg
 
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Wewe kweli ni shetwain, makovu yatakusaidia nini?
 
kwa maekezo yake ni kwamba eneo alilo pigwa sana ni kutoka kwenye nyonga hadi kwenye goti .
ingawa inaoneha una huzuni sana kuona lisu yu hai lakin uzuri maisha ya mwanadam ni marefu sana katika mauti kuliko uzima.hivyo tujifunze kuweka hazina ya mema katika uhai wetu.
Na ndio mguu anaochechemea
2292290_2108469_IMG_20190708_112420_395.jpg
 
Kwani wewe makovu ya fimbo ulizokuwa unachapwa makalioni shuleni kwenu yako wapi
 
Back
Top Bottom