Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Makovu mambo ya zamani wewe,technologia ya matibabu iko mbali sana siku hizi
 
kwa maekezo yake ni kwamba eneo alilo pigwa sana ni kutoka kwenye nyonga hadi kwenye goti .
ingawa inaoneha una huzuni sana kuona lisu yu hai lakin uzuri maisha ya mwanadam ni marefu sana katika mauti kuliko uzima.hivyo tujifunze kuweka hazina ya mema katika uhai wetu.
 
Kuna taarifa za katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa serkal kuwa risasi nyingi zilimpata miguu .

Sasa katika picha zinazozunguka midandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi

Swali La Msingi Tu Vipi Unaamini Kuwa Tundu Lisu Alipigwa Risasi Au Hakupigwa Risasi???

Kama Alipigwa Ni Maeneo Gani Na Je Hayo Makovu Unayaona Kwenye Sehemu Hizo Alizopigwa???

Kama Hapana Nairobi Hospital Anafanya Nini Siku Zote Hizo???
 
Cha msingi kujua ni kwamba lissu aliumia na anahitaji matibabu ili aweze kurejea ktk hali yake.
 
Msameheni bure huyo mleta uzi kwani Kokobe kamvutuga pakubwa! Yaani badala ya kumshukuru Mungu kwa kuulinda na kuutetea uhai wa Lissu yeye analeta utomaso wake kwa kuamini kuwa Lissu anayeonekana kwenye picha siye bali ni wa kutengeneza kwa jinsi walivyommiminia risasi!
 
Kuna taarifa za katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa serkal kuwa risasi nyingi zilimpata miguu .

Sasa katika picha zinazozunguka midandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi au Luna kakomedy kiana
Kwahiyo unataka kusema kwamba Lissu hakupigwa risasi?
 
Kwani nani alikujulisha kuwa Lissu ameshambuliwa kwa risasi wakati unamuona yuko hotelini kwa mapumziko!

Nimetumia tu kauli mbiu ya Invisible wa JF kukujibu kwa kadiri ya ufahamu wako.

Vv
 
Tufanye hakupigwa Risasi wala ile siku hakuna lolote baya lilimtokea, bila shaka jibu hili litakufanya ujisikie faraja mkuu...
 
Wenye akili wako busy Na kutafuta pesa, wewe makovu yanakusaidia nini?

Kumbe na wewe braza ni hamnazo kabisa. Maana uko bize kupondea serikali ya awamu ya tano kimburura zaidi. Huku wenye akili wakiwa busy kusaka pesa .
You have revealed your ignorance by yourself, ooh how awful.
 
Back
Top Bottom