Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Hii picha ya kufutwa umei post bila kutoa hata tahadhari kwa viewer's tulio sensitive. Naona ni uzalilishaji sasa
 
Hio picha ipo mtandaoni kwa muda mrefu mkuu... labda kama ulikua hujaiona, ma CCM yanataka ku paint a picture kuwa Lissu hana lolote kwenye kampeni zake zaidi ya kuongelea majeraha yake, ni tricky tu hio mkuu watu wahamishe upepo....je umemuona mwenyewe LIssu akitembea na hio picha kuwaonyesha majeraha watu kwenye kampeni zake.??.. sijui kwa nini hayo MaCCM hayako sympathetic, especially knowing aliyetenda yote ni mwanachama wao
Ahsante kwa maelekezo mazuri, ila hapa inamlengo hasi, wakiruhusu picha Kama hizi kipindi hiki Cha UCHAGUZI, watu wataedit na kuwavua nguo wagombea kudhalilishana
 
Ahsante kwa maelekezo mazuri, ila hapa inamlengo hasi, wakiruhusu picha Kama hizi kipindi hiki Cha UCHAGUZI, watu wataedit na kuwavua nguo wagombea kudhalilishana

Umeongea jambo la msingi,iwekwe sheria hata kama ya muda, watu wasitumie picha za viongozi vibaya...they are not super beings..ni watu wenye feelings kama sisi...
 
Ahsante kwa maelekezo mazuri, ila hapa inamlengo hasi, wakiruhusu picha Kama hizi kipindi hiki Cha UCHAGUZI, watu wataedit na kuwavua nguo wagombea kudhalilishana
Hii picha sio ya leo wala jana inatambulika na lema alishawahi ipost
 
Aiseee waliofanya hivyo Mungu awalipe kwa kadri ya vitendo vyao hapahapa duniani.
 
Pole yake,

Kuna watanzania mamia kwa maelfu waliopata ajali za kila namna Ila hawageuzi makovu yao kuwa alama za kuombea kura.

Tumpime kwa uwezo wake Kama kiongozi mzalendo wa nchi hili Jambo ambalo Hana na sio kwa Hali yake aliyonayo baada ya kupitia aliyopitia.
 
Wekeni sera, picha za nn? Sidhani hata yy kama anapenda hz picha zake zitumike hivyo!
 
Bora hata angekufa wakala wa accacia kwa kupitia miga
Karibu Sana
Mungu huwa hadhihakiwi

Hebu jiulize, imekuwaje yeye amesalimika, licha ya kumiminiwa risasi 16 mwilini mwake?

Utakufa wewe kwanza, na yeye utamuacha anadunda.......

Maneno uliyotoa unajitafutia laana.......

Hebu jiulize watu wangapi wazima kabisa wanakufa ghafla na kumuacha Tundu Lissu, ambaye ni mgonjwa akiwa anaendelea kudunda?
 
Yaliyomkuta Lisu sio mazuri tumuombee tu Maguli anahuruma sana ninaamini atampa Lisu ubunge wa viti maalum.
 
Ccm watahangaika sana na Lissu na mwisho wataaibika.
 
Iringa waliwahi kumpa kura za huruma mbeberu kwa kufiwa na baba yake walijuta
 
Hakika mkono Mungu umeonekana.. Na Mungu Anakusudio kubwa sana na kiumbe wake huyu kwa watanzania.
- Sambaza picha kadiri uwezavyo kwenye mitandao ya kijamii kushuhudia ukuu wa Mola.View attachment 1530346
Pole sana TL, ila usitegemee tunapigia kura majeraha, tunapigia kura sera. Kama ni majeraha wengi wanayo tena wengine ya moyoni na tungeshawachagua.

Ushauri wangu,
Jikite kwenye sera na uache kujidhalilisha kuvua kuonyesha majeraha hayadaidii. Hayo onyesha mkeo na ndugu zako sisi wapiga kura tunataka sera.
 
Labda Leo nitasikia japo kwa kifupi jinsi TL atakavyowanufaisha watanzania endapo atachuguliwa kuwa rais wetu, tangu amefika kutoka ughaibuni naona zaidi analalamika tu na kuhamasisha Uhuru wa mawazo kwa wote!
 
Back
Top Bottom