Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Risasi 16 zote zimetolewa nyuma ya goti la kulia, mkono na nyonga.huh!

Mguu wa kushoto anaweza kucheza muziki. Mwanzoni kipindi cha michango tuliambiwa tumbo, miguu na mkono.

Dereva hana tena matatizo ya akili ila yuko naye kama kuhijiwa watahojiwa wote.

Amesema kuwa hakuna upelelezi unaoendelea kwa sababu inabidi mtu wa kwanza kuhojiwa awe yeye na dereva wake.

Akarudia mikwala ya kuwa polisi wa Tanzania hawawezi kumuhoji akiwa Kenya labda ahojiwe na polisi wa Kenya.

Kuna bongo movie inachezwa hapo!
Hakika ni bongo muvi tu
 
Hakika mkono Mungu umeonekana.. Na Mungu Anakusudio kubwa sana na kiumbe wake huyu kwa watanzania.
- Sambaza picha kadiri uwezavyo kwenye mitandao ya kijamii kushuhudia ukuu wa Mola.
2292290_2108469_IMG_20190708_112420_395.jpg
 
Pamoja na mambo mengine, sisi Watanzania tunataka kusikia ni kwa jinsi gani Ndg Tundu lisu atatutoa hapa tulipo kutupeleka mbele zaidi hasa kiuchumi.

Tunataka wagombea wetu waeleze kinaga ubaga ni kwa jinsi gani wataweza kuifikisha nchi yetu kwenye peek ya uchumi wa kati na jumuishi wa pato la kila mtanzania kufikia wastani wa dola 3000 hapo kufikia mwaka 2025,huku uchumi huo ukichagizwa na maendeleo ya viwanda.

Tumpime Ndg Lisu kwa sera zake, Uadilifu wake, Uzalendo wake na Uchapakazi wake na sio kwa uwingi ama uchache wa makovu yake.

Binafsi picha hizi hazisaidii, watu hawapigi kura kwa huruma bali kwa yule atakayewaletea Maendeleo.
 
Sidhani kama hii itakuwa sahihi kwani itaonekana ni kutafuta huruma jambo ambalo sio zuri.

Picha kama hii wakati wa kampeni sio sahihi sana, na uzuri ni kuwa,kila mtu sasa anaelewa yaliyomkuta Lissu na hata tembea yake ya leo inatosha kuwakumbusha watu aliyopitia, hivyo hakuna haja sana ya kutumia picha hizi kipindi hiki cha kampeni.
 
Pamoja na mambo mengine, sisi Watanzania tunataka kusikia ni kwa jinsi gani Ndg Tundu lisu atatutoa hapa tulipo kutupeleka mbele zaidi hasa kiuchumi.

Tunataka wagombea wetu waeleze kinaga ubaga ni kwa jinsi gani wataweza kuifikisha nchi kwenye peek ya uchumi wa kati wa pato la kila mtanzania kufikia wastani wa dola 3000 hapo 2025,huku uchumi huo ukichagizwa na maendeleo ya viwanda.

Binafsi picha hizi hazisaidii, watu hawapigi kura kwa huruma bali kwa yule atakayewaletea maendeleo.
mkielezwa mtaelewa?
 
Naona baada ya kuona watu wengi wamesema Lissu asijikite kwenye kampeni kueleza majeraha yake bali ajikite kuongea mambo mengine yenye 'tija' basi makada ya CCM yanaitumia hii picha kama Ngao....mtu aniprove wrong mleta mada ni CCM pure...tunajua hamko sympathetic na Lissu ila kumtumia kaka wa watu kwa manufaa yenu wenyewe...hayo majeraha mnayoyaona ni REAL ... rais wenu awe na aibu akiyaangalia...
 
Naona baada ya kuona watu wengi wamesema Lissu asijikite kwenye kampeni kueleza majeraha yake bali ajikite kuongea mambo mengine yenye 'tija' basi makada ya CCM yanaitumia hii picha kama Ngao....mtu aniprove wrong mleta mada ni CCM pure...tunajua hamko sympathetic na Lissu ila kumtumia kaka wa watu kwa manufaa yenu wenyewe...hayo majeraha mnayoyaona ni REAL ... rais wenu awe na aibu akiyaangalia...
Watu wa CCM wameipataje?
 
Naona baada ya kuona watu wengi wamesema Lissu asijikite kwenye kampeni kueleza majeraha yake bali ajikite kuongea mambo mengine yenye 'tija' basi makada ya CCM yanaitumia hii picha kama Ngao....mtu aniprove wrong mleta mada ni CCM pure...tunajua hamko sympathetic na Lissu ila kumtumia kaka wa watu kwa manufaa yenu wenyewe...hayo majeraha mnayoyaona ni REAL ... rais wenu awe na aibu akiyaangalia...
Mods wafute haraka, najua mnamjua Lisu kwa sheria, atawashughurikia maana haijatolewa na Lisu mwenyewe, so haina kibali
 
Mods wafute haraka, najua mnamjua Lisu kwa sheria, atawashughurikia maana haijatolewa na Lisu mwenyewe, so haina kibali

Hio picha ipo mtandaoni kwa muda mrefu mkuu... labda kama ulikua hujaiona, ma CCM yanataka ku paint a picture kuwa Lissu hana lolote kwenye kampeni zake zaidi ya kuongelea majeraha yake, ni trick tu hio mkuu watu wahamishe upepo....je umemuona mwenyewe LIssu akitembea na hio picha kuwaonyesha majeraha watu kwenye kampeni zake.??.. sijui kwa nini hayo MaCCM hayako sympathetic, especially knowing aliyetenda yote ni mwanachama wao
 
Inasikitisha sana kwakweli..!

Lakini kwasasa Taifa letu limepata mtu sahihi ambaye anafanya matumizi ya kodi zetu, mikopo ya nje na pesa za wahisani zielekezwe sehemu sahihi ktk kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo pasipo kuwa na ufujaji.

Tumeshuhudi vituo vingi vya Afya vikijengwa, miundombinu ya barabara ikiimarika, nidhamu na utendaji bora Serikalini, mifumo ya ulipaji na ukusanyaji kodi ikiimarishwa, miradi ya usambazaji maji, miradi ya usambazaji umeme na unafuu ktk upatikanaji wake na mengine kedekede.

Kwa hali iliyofikia nyakati zile nilikuwa siamini kama CCM ingeweza kupata mtu wa kuleta mabadiliko yenye tija namna hii

KURA yangu nampa JP MAGUFULI

Mungu libariki Taifa letu, Mungu mbariki Raisi wetu na viongozi wetu..!!!
 
Back
Top Bottom