Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?

MPIGIE AU MUULIZE MKEWE
 
Haya ndio mawazo ya ccm mpya, wamezoea kwenye hizi hospitality zetu ukiteguka tu mguu mtu unafungwa hogo mwaka mzima, ukiumia kovu lake linakuwa kubwa kushinda jeraha la kidonda

Kwa teknolojia ya upasuaji ilivo sasa duniani hawafunui sehemu kubwa, wanatengeneza njia tu
 
Swali lako la kitoto sana. Unaulizia makovu kwenye picha. Reasoning yako iko chini sana.
 
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Yupo hospitali sio kwa sangoma
 
Ishu ya lissu kama picha la kihindi la misuni chakalabot. Maana mwenyekiti wa milele kaongopa sana
 
Ishu ya lissu kama picha la kihindi la misuni chakalabot. Maana mwenyekiti wa milele kaongopa sana
Mkuu, unataka kusema ni kiki ezi yujo? Ila risasi kweli alipigwa sema tu wapigaji kwenye kulenga shabaha walipata zero au hawakutaka kumuua. Risasi kibao kweli wasilenge kichwa au kifua kama kweli lengo lao lilikuwa kummaliza? Pengine walikuwa wanatuma salamu tu...
 
Sijaona kovu likioneshwa tu ni mwendelezo wa ukanjanja wa CHADEMA
 
..kwenye video TL anaeleza kwamba majeraha makubwa yako kati ya goti na nyonga.


mahojiano ya kirefu aliyofanya lissu - YouTube

cc USSR, MISULI

Risasi 16 zote zimetolewa nyuma ya goti la kulia, mkono na nyonga.huh!

Mguu wa kushoto anaweza kucheza muziki. Mwanzoni kipindi cha michango tuliambiwa tumbo, miguu na mkono.

Dereva hana tena matatizo ya akili ila yuko naye kama kuhijiwa watahojiwa wote.

Amesema kuwa hakuna upelelezi unaoendelea kwa sababu inabidi mtu wa kwanza kuhojiwa awe yeye na dereva wake.

Akarudia mikwala ya kuwa polisi wa Tanzania hawawezi kumuhoji akiwa Kenya labda ahojiwe na polisi wa Kenya.

Kuna bongo movie inachezwa hapo!
 
Baadhi ya sehemu alizopigwa risasi zilidhurika sana kiasi cha madaktari kutoa nyama na ngozi sehemu nyingine na kuweka sehemu zilizodhurika. Huwezi kuona kovu hapo......
wewe ni zaidi ya thomas................aliyetaka kuona makovu ya misumali.
 
Back
Top Bottom