Huyu jamaa ana shida sana kichwan kwakeWatu wenye mtindio wa ubongo haya ndio maswali yao!
Lingine hili hapa...
Swali? Wanawake mnawekaga wapi simu zenu
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Usiangaike na huyu jamaa akili yake haina akiliMimi siyo mfuasi wa Lissu wala Chadema ila swali lako ni lakipuuzi sana na linasadifu umbumbumbu wako, hayo makovu ulitaka yaonekane maana yaliandikwa na oil chafu au?
Mkuu kwani mguu unaanzia wapi na kuishia wapi? Wewe ulitaka apige picha akiwa uchi ili uone hayo makovu? Kama una hamu sana ya kuona makovu ya risasi kwa Lissu, Nairobi sio mbali nenda kamwone na ukifika sema unaomba kuona makovu ya risasi. Kama huna nauli omba msaada utachangiwa. Hii mada ungesubiri kidogo mwaka uanze kukomaa kuliko kuileta mapema namna hii.[/QUOTE
Si ndiyo maana anaambiwa angebaki 2017 haaaaaaaaaaaaaaaaa! huku 2018 sijui kafwata nini
Vipi umeambiwa police hawajafanya uchunguz?
Mkuu yako wapi makovu? Kuna ttz kuthibitisha hili?
Are you serious!makovu ya risasi ni madogo sana ndugu na unaweza usiyaone kabisa
Mkuu huhitaji kuishi kama mpiga ramli.Tumeambiwa lisu alipigwa Risasi 38 na 8 ndo zilizompata.Zingine mikononi na zingine miguuni.Tulitegemea ktk picha tuone maeneo aliyopigwa na hakukuwa na shida ya kuficha coz ni accessible. Ni swali lenye logic kabisa,huhitaj kukarr kila kitu hata yesu aliwaonesha wale matomaso makovu ndo wakaamini.Kingine Mbowe anadai Bado Risasi moja haijatolewa,hiyo risasi haijatolewa wapi?Kumbuka tukio limetokea mwezi wa Tisa huko now ni miez minne kasoro,ni kweli inawezekana risasi kukaa mda wote huu?
Ivi nawewe unaishi kwenye dunia hii hii ambayo tunaishi wengine?Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Daaaa!! kama mimi ndio ningekua mropokaji lissu, baada ya hosp ningeendelea kukontroo mwili wangu uwe kama ulivyo maana ulikua unaelekea MANYAMA UZEMBE




. Dogo mapingili yote ya shingoni yamekwisha. Ameimarika !!!Basi sawa tuseme hajapigwa risasi kama utakavyo wewe.Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Siasa hizi mpk kwenye afya za watu!!!!Ukishayaona what next ...dah. Mwenzio anachechemea hata kutembea hawezi wewe unataka kuona makovu. ..!!?