Wizi wa matela CRDB

Wizi wa matela CRDB

Bila shaka vigogo ama wafanyakazi wa hii benki wapo humu ndani. ATM zenu zina shida gani leo wapendwa zaidi ya sehemu tatu hazitoi hela...issuer hayupo umezuiwa...sijui nini...kama kuna uharibifu au matengenezo muwe mnasema mapema hata kama ni breakdown ya muda tu...halafu kwa mfano unakuwa ushajaza kiasi halafu mashine isitoe ile hela ndio ishapotea au? Sim banking nayo haifanyi kazi duh...
 
Kuna mwizi mwingine CRDB Kahama mwezi uliopita alinipa hela pungufu.
Elfu 10, haikuwepo, niliruridi nikakuta nyomi ya watu na kwasababu nilikua na tiketi, nikaamua kuwahi basi.
Cha ajabu jamaa mwenyewe picha yake imetundikwa eti ni mfanyakazi bora.
 
BOA pale sinza kuna jamaa aliniibia nilimpa elfu tanotano akapunguza!
Nilikomaa akaitwa branch manager,nae akajifanya ooh hawezi kukuibia au kama vp mm nakuongezea!
nikamuuliza kwa siku utawaongezea wangapi?
Mbaya zaidi wakiona ni akaunti yako mwenyewe!Tamaa
 
Sasa wa hapa waterfront ndo balaa dada mmoja wa teller ya pili kulia kama unaingia alinipiga laki mbili yan bando la noti mia za elfu mbilimbili
Ni mweupe hv nikamshtukia akaniambia nisimuharibie akanipa uchi na kunitunuku mambo yetu yale juu ndo nikamsamehe
Washenzi sana hawa mateller ***** zao
Mkuu nimekugonga like moja ya nguvu sana..........muda so mrefu ntakutunuku shahada ya heshima ya uzamivu pamoja na saluti juu.
 
Kwa bahati nzuri mimi bado sijawahi kukutana na hawo waizi, ila ikitokea wakaniibia live, patachimbika!
 
Hivi CRDB hakuna hata mkubwa mmoja anaesoma humu ili wafanye warekebisho kwenye benki yao. Kila utakapoona CRDB imetajwa JF ujue ni malalamiko tu.
Tuliipenda sana hii benki lakini naona wakubwa wamezeheka wanakosa ubunifu na kuachia ngazi ili damu changa ije hawataki. Vodacom au Tigo wanabadilisha wakubwa kila baada ya miaka mitatu minne ndio maana kuna ubunifu wa hali ya juu. Hivi wakurugenzi wa CRDB hawalijui hili au nao wamezeheka ?
mimi nimependa hiyo wanazeheka
 
Kwenye dola ndo balaa, utaambiwa hii mbona feki nk.Kumbe wanakuwa na dola feki humohumo vyumbani mwao...
 
Ttzo hili liliwahi nikuta CRDB KOROGWE! nikalianzisha nikakosa support ya watu wote ikiwemo mnagement. Na ipi ilikuta CRDB waterfront, milideposite 300,000 nikapewa receipt ya 30,000/= nikalianzisha, wakaniwekea sh 270,0000/=. Dawa yao ipo jikoni.
 
Kwenye dola ndo balaa, utaambiwa hii mbona feki nk.Kumbe wanakuwa na dola feki humohumo vyumbani mwao...

Mtego wao ni rahisi, andika namba kabla ya kuwapa fedha. Wakikwambia ama pungufu au feki, lianzishe. Hiyo ndo dawa yao, ORODHESHENI NAMBA ZA PESA ZENU?
 
Mtego wao ni rahisi, andika namba kabla ya kuwapa fedha. Wakikwambia ama pungufu au feki, lianzishe. Hiyo ndo dawa yao, ORODHESHENI NAMBA ZA PESA ZENU?

Andika izo namba ukiwa unaweka 5m
 
Waacheni waibe tu jamani.. Mshahara wenyewe laki 6 na hapo unaingia ofisini saa 12 asubuhi unatoka saa 2 usiku..

Off ni siku moja tu kwa wiki.. Hawa bankers wengi hamna kitu ukimtoa Bank Manager na Treasurer hizo takataka sijui Teller, Loan Officer ni njaa tupu


Duh! Mkuu maneno yako sheeeeeeedah
 
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me.

Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.

Kapo kengine pale Azikiwe Premier kanaitwa Haika...kadogo dogo hivi chocolate colour. Kaogope kama una ukoma, labda kama una pesa kidogo.....kama nyingi lazima kakupige
 
Sasa wa hapa waterfront ndo balaa dada mmoja wa teller ya pili kulia kama unaingia alinipiga laki mbili yan bando la noti mia za elfu mbilimbili
Ni mweupe hv nikamshtukia akaniambia nisimuharibie akanipa uchi na kunitunuku mambo yetu yale juu ndo nikamsamehe
Washenzi sana hawa mateller ***** zao

Uchi kwa laki mbili? duu! unaua bend, ahaa
 
Kapo kengine pale Azikiwe Premier kanaitwa Haika...kadogo dogo hivi chocolate colour. Kaogope kama una ukoma, labda kama una pesa kidogo.....kama nyingi lazima kakupige

Mhhh kuhusu huyo Aika wa CRDB Azikiwe, mdada anapiga kazi ile mbaya yuko super faster & smart. Napata kigugumizi, kwanza hausiki na malipo taslimu ataiba Cheque au Bank Balance?
 
Never Underestimate the Power of Stupid People in Large Groups

Kaka utingo mimi nimependa hayo maneno yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom