Hii ndo kaz yangu ila nauchukia kutokana na perception za watu juu ya hii kazi, kiuhalisia haina maslahi makubwa ni kazi ambayo ni kama uko jail,huoni jua ksa siku sita, unakumbana na aggressive customer wanakuzngua bado supervisor hajakuletea shida ukija mtaani tunaitwa wavaa tai ila hatuna kitu,,,,,kazi ya kudeal na cash ni ngumu ndugu zangu msitukane na kulaumu tu sometime kweli mtu anapitiwa na system sio rafiki sana japo kweli wapo tellers ambao sio waaminifu hii ipo kila organization
MUNGU nipe ujasiri niondokane na hii kazi