Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,094
Mhhh kuhusu huyo Aika wa CRDB Azikiwe, mdada anapiga kazi ile mbaya yuko super faster & smart. Napata kigugumizi, kwanza hausiki na malipo taslimu ataiba Cheque au Bank Balance?
Wapo wawili pale...huyo aika unayemsema anadeal na check na nadhani ni meneja wa kitengo -customer service na amekuwepo pale nadhani ni kuanzia mwaka huu au since last year, she is tall, white/chocolate and cute....ni chapa kazi sana. Hata ukiongea naye anavyokuelekeza unafurahi, she real knows what she is supposed to do.
Yupo mwingine, ni teller, small built ana vichunusi hivi...huyu ndiye ninayemsema....akiwa kwenye teller na unapesa nyingi...you better not go to her.