Wizi wa matela CRDB

Wizi wa matela CRDB

Hello wanaJf nipo hapa kusikiliza kilio chenu naombeni list ya matawi CRDB yanaongoza kwa uwizi kwa wateja,Ili tukaifanyie kazi ntawashukuru kwa kunipa feedback.

yameongezeka mengine Mbezi Beach. Mlimani City ndio hatari wanashirikiana na majambazi kabisaa kupora pesa za wateja,,
 
CRDB azikiwe wanafanya kazi nzuri sana sikuwahi patashida pia na tawi la UDSM ..

Ila ntakuwa makini .. Hii thread imenifumbua macho
 
mnqsubiri nini kuhama bank? mie nilishakimbia huko.makato makubwa na kuibiwa niibiwe.hizi benk ndogo wapo vizuri mie nilihamia azania benki wapi vizuri mateler wanahesabu hela kwa uwazi unaridhika.
 
Mimi nilikuta nimekatwa elfu tano kwenye account yangu ya CRDB tawi la Dodoma ilikuwa mwaka 2010 Baada ya kuhoji pale mapokezi wakaniambia kila mteja amekatwa kiasi hiko eti bank kuna hasara ilipata ikabidi kila mteja akatwe. Nikawauliza kwanini wakate bila taarifa wakasema wakati najiunga na bank nilikubaliana na masharti yote ya bank. Hivyo sina changu, niliumia sna japo ni pesa kidogo, lakini nilitafakari wamekusanya kiasi gani kwa huo mcheza. Hivyo siyo leo tu crbd wamezoa tayari.
 
CRDB UDSM Branch, one of the best Bank ever seen in Tanzania.Big up solome.Rosalia,Bahati?Kaka wa kimasai,na ndugu uliye hamishiwa Babati.
MKIHAMISHWA HAPO NITAWAFUATA
 
Mm pale holland hse branch dada alinipiga 60,000 bila kupepesa macho, ni hizo pesa nimetoka nazo bureau de change tumehesabu vizuri nikaweka kwenye bahasha mpaka bank, sasa hivi sitaki waguse pesa zangu kama bado ninaendelea kutoa
 
Kimeo yuko bize na vibint tu!

Jamaa amechoka no new ideas. Inabidi bodi ilete damu changa inayoendana na mabadiliko ya kisayansi na kiteknolojia. Urais tu mwisho miaka mitano, hushangai Vodacom au Tigo miaka mitatu uongozi mpya na mambo yanazidi kua mapya.
Kama vile wabunge wa CCM waliokalia viti kwa zaidi ya miaka ishirini, kina tyson, six, visenti etc
Huyu jamaa yuko pale since wakati wa AHM. Mwaka 1993
 
Crdb Mwanza pale Mwanza hotel kuna type ya watu hawa...ngoja wataniona nshasoma mchezo m huwa nahc ninakoseaga kumbe?
Wanajifanya wana maisha mazur kumbe story tu...

Mwanza hotel hakuna crdb
 
CRDB UDSM Branch, one of the best Bank ever seen in Tanzania.Big up solome.Rosalia,Bahati?Kaka wa kimasai,na ndugu uliye hamishiwa Babati.
MKIHAMISHWA HAPO NITAWAFUATA

Sasa pale wanafunzi wengi utampiga nani wakati hao wanafunzi wnahesabu pesa mara 10 10 kabla hawajampa teller kudeposit
 
CRDB Tegeta branch.. pale kibo wako poa sana hawaibi hata kidogo...wanahudumia vizuri haswa yule Dada mweu😛ee
 
Hivi kuna mtu kweli ambaye pesa yake ni 100% legit kwenye mashirika ya umma na binafsi? Basi awe wa kwanza kuwarushia mawe hawa mateller..
 
mnqsubiri nini kuhama bank? mie nilishakimbia huko.makato makubwa na kuibiwa niibiwe.hizi benk ndogo wapo vizuri mie nilihamia azania benki wapi vizuri mateler wanahesabu hela kwa uwazi unaridhika.

Aisee wana makato ya ajabu hawa watu,
Kuna siku kulikua na tatizo nikasema nitoe 20000 kama itatoka hela haikutoka ila Meseji ikaingia nimetoa,
Nikaondoka nimekuja kuangalia Salio,
Imekatwa 16000 wakarudisha 4000 tu!
 
Ujue mnakosea sana. Miwapige picha hao wezi ili iwe fundisho. Alafu nimegundua kila anayesema ameibiwa anapoint 'Mdada mweupe'. Inaonekana wadada weupe matela ni choriiii. Hahaha Kuna uhusiano gani kati ya rangi ya mtu na Tabia ya uwizi Wa tela? Hii ni area mpya ya reseach
Je kuna mteja ashawahi kuibiwa na teller Mwenye rangi nyeusi??
 
Waacheni waibe tu jamani.. Mshahara wenyewe laki 6 na hapo unaingia ofisini saa 12 asubuhi unatoka saa 2 usiku..

Off ni siku moja tu kwa wiki.. Hawa bankers wengi hamna kitu ukimtoa Bank Manager na Treasurer hizo takataka sijui Teller, Loan Officer ni njaa tupu


kijana acha dharau...binadamu wenzio wanaojipatia riziki kwa kazi hizo unawaita takataka??!!!
 
Managers ni tatizo ni kweli teller weng ni zaid ya wezi ktk hiyo bank na hata bank zingine japo kwakuwa wewe umeamua kusema hili utaleta nuru
 
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me.

Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.

who are you by the way??!! wenye pesa wanathamini hata sumni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom