Wizi wa matela CRDB

Wizi wa matela CRDB

Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me. Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.

Ungelianzisha fifte kubwa
 
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me. Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.


Kwahiyo umekuja humu kujisifu kuibiwa?!
 
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me. Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.

Pole aisee
 
Waacheni waibe tu jamani.. Mshahara wenyewe laki 6 na hapo unaingia ofisini saa 12 asubuhi unatoka saa 2 usiku..

Off ni siku moja tu kwa wiki.. Hawa bankers wengi hamna kitu ukimtoa Bank Manager na Treasurer hizo takataka sijui Teller, Loan Officer ni njaa tupu

Sipingi unachosema lakini uwasilishaji wako unaweza ukawa unawadhalilisha wahusika.
 
Sipingi unachosema lakini uwasilishaji wako unaweza ukawa unawadhalilisha wahusika.

Hadhalilishwi mtu mkuu... Sasa unaibia mtu 10,000 ambayo hujui kaipataje kama si njaa kali ni nini?? Mbona waizi wa CCM wanatukanwa sana humu hao tellers kwanini tuwavumilie na hiyo tabia yao mbovu??
 
Ishanitokea kama mara mbili teller moja hivi pale Tanga CRDBBB
Kuna siku nikamuwekea mtego ikabdi aniombe msamaha

mikatabafeki unachokisema ndio ukweli mtupu kwa pale Tanga CRDB, kuna jamaa zangu kama watatu kwa nyakati tofauti tofauti waliwahi kuniambia kuhusu huyo Teller.
 
Last edited by a moderator:
Waacheni waibe tu jamani.. Mshahara wenyewe laki 6 na hapo unaingia ofisini saa 12 asubuhi unatoka saa 2 usiku..

Off ni siku moja tu kwa wiki.. Hawa bankers wengi hamna kitu ukimtoa Bank Manager na Treasurer hizo takataka sijui Teller, Loan Officer ni njaa tupu

Hii sio sababu ya kuiba pesa ya mteja.
 
Hadhalilishwi mtu mkuu... Sasa unaibia mtu 10,000 ambayo hujui kaipataje kama si njaa kali ni nini?? Mbona waizi wa CCM wanatukanwa sana humu hao tellers kwanini tuwavumilie na hiyo tabia yao mbovu??
Maisha mzee.
 
Mkuu pole una hela hamsini unapotezea?

Ila pale mbezi louis kuna kadada keupe kana dharau. Hanifurahishi. Ila kila mmoja na maisha yake ofisi yake ana nyanyasa na wengine mweee. Anyway ndio maisha haya ya duniani.
Jioni njema wanajf.
 
Crdb Mwanza pale Mwanza hotel kuna type ya watu hawa...ngoja wataniona nshasoma mchezo m huwa nahc ninakoseaga kumbe?
Wanajifanya wana maisha mazur kumbe story tu...
 
Teh teh teh usikumbushie mkuu watakuja kunishambulia hapa..

Atakae kuja kukushambulia tu utajua ni teller, na itampa machungu ya kutafuta pesa kwa nguvu hizi kazi awaachie dada zake. Hapa watakupongeza kwa kuwafungua macho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom